Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mfano ziara iko mbeya.. kwann wakiwa huko mbeya yasiandaliwa luxury makosta au hiace kwa ajili ya hao watu.. hata kama kila hiace moja itabeba watu watano.. mbona UK, marais akiwepo mmpiga mwingi nae alipandishwa kwenye hiace/coaster
1. State House Cars - suv 6 ✅
2. Police Cars - suv 4 ✅
3. Mawaziri - hiace 2 .. kila hiace mawaziri 5
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - hiace 2
5. DED - costa/hiace 1
6. Viongozi wa Dini na NGO - costa/hiace 1
7. Wajumbe wa NEC CCM - costa/hiace 1
8. Wabunge - hiace 2
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - hiace 2
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - costa/hiace 2
View attachment 3046861
View attachment 3046856View attachment 3046857
Wakishatoka ziara, hizo zitawarudisha makao makuu ya mkoa kutawanyika au wengine yataendelea na ziara mikoa mengine
Naskia kwa chinichini ununuzi wa magari ma-VX na ma-Prado familia ya mama wanapata commission! Kwa hiyo manunuzi lazma yaendelee!
 
Huyu kichaa wa wapi, banana kuna underpass na ishakamilika kama unabisha nitakuletea picha baadae, unaleta habari za kitambo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na hawa wanafanya nini hapa kama ishakamilika?😂😂👇👇👇
 
Nina mtazamo tofauti kuhusu huu utaratibu wa msafara, tatizo wala hata sio idadi ya magari kwenye msafara sababu hata kama sio ziara ya Rais hayo magari yapo tu na huwa kila siku yapo barabarani kwa hiyo kusema wapande kwenye bus kwa siku 2 kwenye ziara huku siku nyingine za mwaka wapo kwenye private SUVs sioni hata expenses wanayosave ni ipi

Solution ni kuacha hii zima moto kwamba wanaonekana kwa wananchi mpaka ziara ya Rais wangekua wapo available muda wote kwa wananchi na kutataua matatizo ya wananchi kwa wakati hata haja ya kuandamana na Rais na kuleta hii taharuki ya ukubwa wa msafara isingekuepo
 
You are just an idiot who doesn’t know anything about Mathematics. So you think kuweka X=X+1 makes you special?

There is no answer for that equation as it’s self contradicting.
😀 😀😀 Hamjui Maths. Endeleeni na #RUTOMUSTGO

Maths ni sauti ya Mungu. If the country do no know maths, itakuwa inasikiliza Mashetani

Nchi yenu inasikiliza demons
 
Back
Top Bottom