NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
Hivi tunavyoongea hata makamu wa Rais wenu simjui. Naomba unionyeshe video moja mwaka huu media ya Kenya ikidiscuss siasa za Tanzania nifunge account.Kama tunafatilia zenu sana, hapa Tz kuna mwanasiasa wenu yoyote alikua anapigiwa kelele kama ni Raisi wao kama huko kwenu kipindi cha Magufuli?
Kama hamfatilii mmejuaje CCM?
Kama hamfatilii mnajuaje Bunge letu limekemea kitu?
Na kama hujui Chochote kuhusu siasa zetu why unatuletea upuuzi wenu wa tiktok kisa Maandamano?
Nadhani nyie mtapona siku mkiacha kujipa UMUHIMU usio na faida, Ni miaka mingapi kila kukicha mnafanya Maandamano na matokeo yake nini?