Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Most of this Bongolalas hawajui uchumi wetu ulishinda wao mwaka wa 2005. Wameaminishwa tuliachiwa uchumi Bora na Muingereza halafu ndio wameanza kutukaribia.😂😂😂
Mlikuwa hamuishi uhalisia. Sasa kama uchumi wenu uko juu iwaje hata mishara ni shida na sasa mpaka mawaziri na marais wastaaf wamekatwa maokoto yao?
 
Ndio maana wanadhani ukiround off 3:35 to the nearest hr ni 3. The concept of minutes being a different scalar to hours doesn't exist in their heads.😂😂😂
Acha upumbavu wewe time huwa rounded off to the nearest quarter hour or to the nearest 5 or 10 minutes. Elimu bure kabisa
 
Mlikuwa hamuishi uhalisia. Sasa kama uchumi wenu uko juu iwaje hata mishara ni shida na sasa mpaka mawaziri na marais wastaaf wamekatwa maokoto yao?
Mshahara ni shida wakati Civil servants Mshahara unaingia tarehe 26, mind you kenya ina ina civil servant wengi kuliko Tanzania na mshahara mnono😬
 
Nbo-Msa ni 470kms na Madaraka Express inachukua 5.1hrs

Speed = 470/5.1
=92kph


137kph vs 92kph.
Matano au sita?
Mbona unafupisha masaa!?
Sasa sisi masaa matatu na dakika 25 nani zaidi?
Na hapo haijaamua kutembea higher speed kama ya Dar to Morogoro 170+kmph.
Je ikianza kutembea huo mwendo Dodoma tunafika saa ngapi!?
 
Nionyeshe hivo vituo manake ni kimoja cha morogoro na within dakika 5 treni imeondoka. So wacha tufanye adjustment ya hizo dakika
3:25-0:05= 3:20

Speed = distance/time
= 457/3.3
Speed = 138.5km/h

Wajanja tunajua average speed ni 140km/h

View: https://vm.tiktok.com/ZGenBJ9sK/ mmekomaa kufuatilia kufuatilia na kupinga maendeleo yetu while kwenu nchi imeoza hadi inanuka,angalia abiria hao kq wanavyolalamika ndege hata AC haina na bado engine bovu
 
Matano au sita?
Mbona unafupisha masaa!?
Sasa sisi masaa matatu na dakika 25 nani zaidi?
Na hapo haijaamua kutembea higher speed kama ya Dar to Morogoro 170+kmph.
Je ikianza kutembea huo mwendo Dodoma tunafika saa ngapi!?
Tizama express train arrival ni 20:08 na departure ni 15:00
Tofauti= 5hrs 8min
8/60= 0.13
Time= 5.13hrs

Speed= 470/5.13
=91.6kph

6hrs ni intercounty ambayo inasimama 7 station inbetween.
images.jpeg
 
Tizama express train arrival ni 20:08 na departure ni 15:00
Tofauti= 5hrs 8min
8/60= 0.13
Time= 5.13hrs

Speed= 470/5.13
=91.6kph

6hrs ni intercounty ambayo inasimama 7 station inbetween.
View attachment 3046610
Still mnatembea taratibu.
Wewe jitetee uwezavyo.
Ila sisi ndio tunaanza mbeleni speed itaongezeka zaidi ya hiyo kama ilivyoongezeka ya Morogoro.
 
Mshahara ni shida wakati Civil servants Mshahara unaingia tarehe 26, mind you kenya ina ina civil servant wengi kuliko Tanzania na mshahara mnono😬
Tanzanian total workforce ni mara tatu ya Kenya na alomost mara mbili ile ya South Africa. Wasouth walifanya komparizon kwenye sekta ya kilimo tu wakanyoosha mikono. Over 80% ya wafanyakazi kwenye hospitality industry ni Wakenya na husikii kelele kuwa wanashukua kazi zetu.
 
Nbo-Msa ni 470kms na Madaraka Express inachukua 5.1hrs

Speed = 470/5.1
=92kph


137kph vs 92kph.
😂😂😂 kwahiyo umeamua kujitoa ufahamu? Yani saa 2 kamili asubuhi hadi saa nane na dakika kumi ni masaa matano? 😂😂😂. Oky so now which train is faster between Tz train vs Kenyan train? 😂😂😂 usione aibu kuongea ukweli.
 
Tizama express train arrival ni 20:08 na departure ni 15:00
Tofauti= 5hrs 8min
8/60= 0.13
Time= 5.13hrs

Speed= 470/5.13
=91.6kph

6hrs ni intercounty ambayo inasimama 7 station inbetween.
View attachment 3046610
Hiyo schedule ya express iko wapi? I want to see it. 😂😂😂

Second , ikiwa express yenye unadai inaenda 5 hrs inatembea speed ya 90km/hr hii ingine yenye ni 6:30 hr inatembea how many km for an hour?
 
Nbo-Msa ni 470kms na Madaraka Express inachukua 5.1hrs

Speed = 470/5.1
=92kph


137kph vs 92kph.
Sasa wewe jiniasi unaona tofauti ya 45kph ni ndogo? Ushawahi kuendesha gari at 90kph them mtu akakupitq na 135kph? Ushaangalia F1 kuna DRS zone ambapo dereva anaefukuza anapata advantage ya 7-12kph tu. Sasa angalia tofauti yake utajua kuwa aliekuzidi 45kph kakuacha mbali sana.
 
Sasa wewe jiniasi unaona tofauti ya 45kph ni ndogo? Ushawahi kuendesha gari at 90kph them mtu akakupitq na 135kph? Ushaangalia F1 kuna DRS zone ambapo dereva anaefukuza anapata advantage ya 7-12kph tu. Sasa angalia tofauti yake utajua kuwa aliekuzidi 45kph kakuacha mbali sana.
Tunahangaika na bumunda!?
 
Back
Top Bottom