Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo assumption yako ya 140kph umeiotoa wapi we know operational speed iliyokuwa documented ni 160kph. Scientific arguments haziendi kwa kubuni vitu kichwani mwako.
Dar - Dom 457km
Time 3:25

Speed = Distance/time
=457/3.4
Speed = 134km/h

160km/h ni maximum speed na sio average. Kama ingekua hivo treni isingepitisha 2hrs 48min
 
Dar - Dom 457km
Time 3:25

Speed = Distance/time
=457/3.4
Speed = 134km/h

160km/h ni maximum speed na sio average.
Maximum speed ni 180 average speed ni 160.
Na hiyo ni kwasababu treni itasimama vituo vingi njiani ndio maana.
Katika kila kituo treni itasimama kwa dakika sio chini ya 5.
 
Maximum speed ni 180 average speed ni 160.
Na hiyo ni kwasababu treni itasimama vituo vingi njiani ndio maana.
Katika kila kituo treni itasimama kwa dakika sio chini ya 5.
Nionyeshe hivo vituo manake ni kimoja cha morogoro na within dakika 5 treni imeondoka. So wacha tufanye adjustment ya hizo dakika
3:25-0:05= 3:20

Speed = distance/time
= 457/3.3
Speed = 138.5km/h

Wajanja tunajua average speed ni 140km/h
 
Nionyeshe hivo vituo manake ni kimoja cha morogoro na within dakika 5 treni imeondoka. So wacha tufanye adjustment ya hizo dakika
3:25-0:05= 3:20

Speed = distance/time
= 457/3.3
Speed = 138.5km/h

Wajanja tunajua average speed ni 140km/h
Kutoka Dar mpaka Moro kuna takriban vituo vinne.
Kutoka Morogoro Mkundi mpaka Makutupora ni zaidi ya vituo SITA.
Embu tizama hapo.
Halafu piga mahesabu kwa vituo vinne utoe dakika 5 katika kila kituo kimoja ni dakika 20.
Na katika vituo sita na zaidi utoe dakika 5 katika kila kituo ni takriban dakika 30 na zaidi.
Ukitoka stesheni posta usimame pugu,sifa,Ruvu na ngerengere ndio kituo kikuu Morogoro Mkundi.
Ukitoka hapo uende Dodoma usimame Kilosa,Mkata,kidete,gulwa,igandu,Dodoma mjini kesha Makutupora.
Piga mahesabu hapo.
Screenshot_2024-07-19-15-26-37-89_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Dar - Dom 457km
Time 3:25

Speed = Distance/time
=457/3.4
Speed = 134km/h

160km/h ni maximum speed na sio average. Kama ingekua hivo treni isingepitisha 2hrs 48min
160kph ni operational speed wewe hukuona kitu kinagonga more than 176kph ama unajitoa ufahamu tuu?
Kwanza unatakiwa uelewe maana ya operational speed na hakuna train yoyote duniani inaweza kwenda na top speed constantly maana kuna acceleration na deceleration.
 
160kph no operational speed wewe hukuona kitu kinahonga more than 176kph ana unajitoa ufahamu tuu?
Kwanza unatakiwa uelewe maana ya operational speed na hakuna train yoyote duniani inaweza kwenda na top speed constantly maana kuna acceleration na deceleration.
Ya China railway ilienda total speed ya 400+kmph ilipinduka😂😂😂😂😂😂.
Ndio chanzo cha kuongeza Broadway gauge railway na maglev.
Ambazo hata ukienda total speed hakuna madhara.
 
Kutoka Dar mpaka Moro kuna takriban vituo vinne.
Kutoka Morogoro Mkundi mpaka Makutupora ni zaidi ya vituo SITA.
Embu tizama hapo.
Halafu piga mahesabu kwa vituo vinne utoe dakika 5 katika kila kituo kimoja ni dakika 20.
Na katika vituo sita na zaidi utoe dakika 5 katika kila kituo ni takriban dakika 30 na zaidi.
Ukitoka stesheni posta usimame pugu,sifa,Ruvu na ngerengere ndio kituo kikuu Morogoro Mkundi.
Ukitoka hapo uende Dodoma usimame Kilosa,Mkata,kidete,gulwa,igandu,Dodoma mjini kesha Makutupora.
Piga mahesabu hapo.
View attachment 3046340
Tunajadili kuhusu express train zinazo simama morogoro pekeyake.
1721306744830.jpg
 
Back
Top Bottom