RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,884
- 129,916
Sasa mtu anaona 137 ni sawa na 92 ni mzima huyo? Sijui hata kama ashawahi ku drive maana hajui tofauti ya speed.Tunahangaika na bumunda!?
Sasa mtu anaona 137 ni sawa na 92 ni mzima huyo? Sijui hata kama ashawahi ku drive maana hajui tofauti ya speed.Tunahangaika na bumunda!?
Umeingia kwenye mfumo, si ulisema nipuuzwe 😬😬😬Sasa wewe jiniasi unaona tofauti ya 45kph ni ndogo? Ushawahi kuendesha gari at 90kph them mtu akakupitq na 135kph? Ushaangalia F1 kuna DRS zone ambapo dereva anaefukuza anapata advantage ya 7-12kph tu. Sasa angalia tofauti yake utajua kuwa aliekuzidi 45kph kakuacha mbali sana.
Saivi imekuwa kudrive tena, 😬Sasa mtu anaona 137 ni sawa na 92 ni mzima huyo? Sijui hata kama ashawahi ku drive maana hajui tofauti ya speed.
😂😂😂 hiyo 100 umeipata wapi tena? Anyways, so which train is faster between these Two? 😂😂.Inasimama 7 different stations so bado speed ni hio 90 to 100
Tatizo la kichaa mtaani unaweza kumpuuza lakini anakuja kuchora fence yako na m@@@i inabidi umnyooshe kichaa kimuishe.Umeingia kwenye mfumo, si ulisema nipuuzwe 😬😬😬
Hii 100 umeitoa wapi? 😂😂😂Bullet train 137kph
Diesel 100kph
😬😬😂😂😂😂
At least ungejua kudrive ungejua kuwa 45kph difference is a 45km gap.Saivi imekuwa kudrive tena, 😬
Wakenya wamechanganyikiwa wanaona kama ndoto. Wanatakiwa waondoke kwenye bumbuwazi. Is happening.Sasa mtu anaona 137 ni sawa na 92 ni mzima huyo? Sijui hata kama ashawahi ku drive maana hajui tofauti ya speed.
Hio ndio average speed kwenye kila treni.Hii 100 umeitoa wapi? 😂😂😂
Dah, kuna mtu hapa ndani hajui kudrive. pengine Sama boy 255 😬At least ungejua kudrive ungejua kuwa 45kph difference is a 45km gap.
wacha upumbavu eti 80% ya workforce Hospitaity industry Wakenya umepata wapi hizo statistics? Unapenda kuzusha! Kwahiyo Arusha, Zanzibar na Kilimanjaro 80% ya Wafanyakazi utalii Wakunya! kweli? waacha ufala!Tanzanian total workforce ni mara tatu ya Kenya na alomost mara mbili ile ya South Africa. Wasouth walifanya komparizon kwenye sekta ya kilimo tu wakanyoosha mikono. Over 80% ya wafanyakazi kwenye hospitality industry ni Wakenya na husikii kelele kuwa wanashukua kazi zetu.
Bumunda la Mama Ngina. Nyie wakenya ni Zombies.Hio ndio average speed kwenye kila treni.
😂😂😂 wew ulisema treni yenu inatumia masaa matano na dakika 10, (wote tunajua kuwa sio kweli ila tumekuacha ujifariji) sasa ikiwa treni yenu inatembea kwa muda huo kwa umbali wa km 480, je average speed itakua ni 100? 😂😂😂Hio ndio average speed kwenye kila treni.
Express train huitaki, wataka intercounty inayosimama vituo 7 😂😂😂😂😂😂 kwahiyo umeamua kujitoa ufahamu? Yani saa 2 kamili asubuhi hadi saa nane na dakika kumi ni masaa matano? 😂😂😂. Oky so now which train is faster between Tz train vs Kenyan train? 😂😂😂 usione aibu kuongea ukweli.
Hunitoi mchezoni leo, lazima utubu. 😂😂😂 tell us which train is faster between Tanzania’s vs kenyan one? Nangoja majibu.Dah, kuna mtu hapa ndani hajui kudrive. pengine Sama boy 255 😬
Unanifunza hesabu wakati ulikuwa hujui 3:20 ni sawa na 3.333hrs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wew ulisema treni yenu inatumia masaa matano na dakika 10, (wote tunajua kuwa sio kweli ila tumekuacha ujifariji) sasa ikiwa treni yenu inatembea kwa muda huo kwa umbali wa km 480, je average speed itakua ni 100? 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wacha upumbavu eti 80% ya workforce Hospitaity industry Wakenya umepata wapi hizo statistics? Unapenda kuzusha! Kwahiyo Arusha, Zanzibar na Kilimanjaro 80% ya Wafanyakazi utalii Wakunya! kweli? waacha ufala!
Ebu tupia picha ya leseni 😬Hunitoi mchezoni leo, lazima utubu. 😂😂😂 tell us which train is faster between Tanzania’s vs kenyan one? Nangoja majibu.
Sawa nimekubali express inaenda masaa matano. 😂😂😂 je average speed ni 100km/hr?Express train huitaki, wataka intercounty inayosimama vituo 7 😂😂😂View attachment 3046649