President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,775
- 89,801
Mzee unatusumbua. Hivi upo hata na gari hapo home?Dah alooo kuna shida kubwa sana na elimu ya Tanzania.
Unit Time inafaa kuwa in (hours)
20min= 0.333hrs
20/60= 0.333
3.00+ 0.333
Speed= 457/3.333
=137kpH