Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuliwaambia wamejionea 😂😂
IMG_20240528_234916.jpg
IMG_20240528_234705.jpg
IMG_20240528_234700.jpg
IMG_20240528_234903.jpg
IMG_20240528_234907.jpg
 
Nenda ambia pasta Ng'ang'a Kindiki amerudi.... Soon na Murkomen ndani... Ndio tunahamisha kanisa la bazenga mkora
 
Hii hesabu yako yenyewe uliopiga hapa ni ya ukilaza na uongo. 😂😂😂 utaacha lini ukilaza wako na uongo? Sasa ikiwa safari nzima inatumia 3:25 hours, ukiondoa dakika tano za kusimama kituo cha morogoro utapata kwamba treni imetumia 3:20 hours

Ukifanfanya hesabu za kujua ni speed gani ilitumika hiyo hesabu itakua hivi

Speed = distance/time
Ambapo ni hii 458km ukigawa na hii 3:20 jibu ni 143.125km/hour

Haya tueleze hii 138km umepata wapi? 😂😂😂😂😂
Hapo umekamata pmb
Hii hesabu yako yenyewe uliopiga hapa ni ya ukilaza na uongo. 😂😂😂 utaacha lini ukilaza wako na uongo? Sasa ikiwa safari nzima inatumia 3:25 hours, ukiondoa dakika tano za kusimama kituo cha morogoro utapata kwamba treni imetumia 3:20 hours

Ukifanfanya hesabu za kujua ni speed gani ilitumika hiyo hesabu itakua hivi

Speed = distance/time
Ambapo ni hii 458km ukigawa na hii 3:20 jibu ni 143.125km/hour

Haya tueleze hii 138km umepata wapi? 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Hapo umekamata pmb kisawasawa lazima atoe milio kama yote 😁
 
Back
Top Bottom