President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Rais Samia Suluhu Hassan aweka jiwe la Msingi la ujenzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya, Kampasi ya Rukwa.
Bado hujaweka dakika za kupishana trains kati ya inayotoka Dar to Dom na Dom to Dar kuna 1 itasimama kupisha nyingineKutoka Dar mpaka Moro kuna takriban vituo vinne.
Kutoka Morogoro Mkundi mpaka Makutupora ni zaidi ya vituo SITA.
Embu tizama hapo.
Halafu piga mahesabu kwa vituo vinne utoe dakika 5 katika kila kituo kimoja ni dakika 20.
Na katika vituo sita na zaidi utoe dakika 5 katika kila kituo ni takriban dakika 30 na zaidi.
Ukitoka stesheni posta usimame pugu,sifa,Ruvu na ngerengere ndio kituo kikuu Morogoro Mkundi.
Ukitoka hapo uende Dodoma usimame Kilosa,Mkata,kidete,gulwa,igandu,Dodoma mjini kesha Makutupora.
Piga mahesabu hapo.
View attachment 3046340
Watanzania wamepanik mpaka wanalike kila ujinga. Dar to dom via sgr ni 457kms.Kitu ambacho ukifahama Dar to Dodoma (makutopora) ni 475 km Dar to Dodoma mjini ndio 452km, treni inaishia makutopora km 475 ndani ya masaa 3:25 ilhali yenu nairobi mpaka mombasa km 483 treni inachukua masaa 6 yaani kama mpaka hapo bado huoni tofauti broo basi hao funza wala ubongo kichwani mwako watakufa kwa njaa aisee
Dah mbona jengo bovu namna hii, nibora mngepeana kazi kwa wakenya 😬View attachment 3046422View attachment 3046423View attachment 3046424My first ride with an electrec train? 😂😂😂 njoo ujinyonge wewe mbwa Reborn Ktb. We endelea kuziona hizi train humu JF kwa picha na video.
Unapata haya maumivu ukiwa wapi?Dah mbona jengo bovu namna hii, nibora mngepeana kazi kwa wakenya 😬
kipigo cha leo hakija tosha??Unapata haya maumivu ukiwa wapi?
so a car can travel at that speed ama ni upumbavu unakusumbua?Watanzania wamepanik mpaka wanalike kila ujinga. Dar to dom via sgr ni 457kms.
Speed = distance/time
=457/3.333
Speed = 137kph View attachment 3046490
Kundustan akili zao zipo matakoni #RUTOMUSTGOWatanzania wamepanik mpaka wanalike kila ujinga. Dar to dom via sgr ni 457kms.
Speed = distance/time
=457/3.333
Speed = 137kph View attachment 3046490
Oky, now tell us the average speed of your madaraka train 😂😂😂😂 ikiwa inatumia masaa sita kufika same distance that of Dar-Dom. Safari ya Nairobi-Mombasa inachukua masaa 6 na dakika nane. Now do the math. Nipo hapa nasubiri. 😂😂kipigo cha leo hakija tosha??
What are you saying old witch?so a car can travel at that speed ama ni upumbavu unakusumbua?
masaaa 6 umechomoa wapi mqunduni ama? 😬Oky, now tell us the average speed of your madaraka train 😂😂😂😂 ikiwa inatumia masaa sita kufika same distance that of Dar-Dom. Safari ya Nairobi-Mombasa inachukua masaa 6 na dakika nane. Now do the math. Nipo hapa nasubiri. 😂😂
Mzee leta issues zingine. Issues za electric train tulishafunga mwezi uliopita.What are you saying old witch?
I dare you to repost the train schedule. Fanya fasta. 😂😂😂masaaa 6 umechomoa wapi mqunduni ama? 😬
ebu ilete hapa.I dare you to repost the train schedule. Fanya fasta. 😂😂😂
Wewe ndio ulipost acha ubwege. 😂😂😂 fanya majukumu yako, post tena. Haraka sana.ebu ilete hapa.
Huna jipya, ukiwa na content niite.Wewe ndio ulipost acha ubwege. 😂😂😂 fanya majukumu yako, post tena. Haraka sana.
482÷6 = 80km/hWewe ndio ulipost acha ubwege. 😂😂😂 fanya majukumu yako, post tena. Haraka sana.