Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_0263.jpeg
IMG_0266.jpeg
IMG_0268.jpeg
My first ride with an electrec train? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ njoo ujinyonge wewe mbwa Reborn Ktb. We endelea kuziona hizi train humu JF kwa picha na video.
 
Dah alooo kuna shida kubwa sana na elimu ya Tanzania.
Unit Time inafaa kuwa in (hours)
20min= 0.333hrs
20/60= 0.333
3.00+ 0.333

Speed= 457/3.333
=137kpH
Kitu ambacho ukifahama Dar to Dodoma (makutopora) ni 475 km Dar to Dodoma mjini ndio 452km, treni inaishia makutopora km 475 ndani ya masaa 3:25 ilhali yenu nairobi mpaka mombasa km 483 treni inachukua masaa 6 yaani kama mpaka hapo bado huoni tofauti broo basi hao funza wala ubongo kichwani mwako watakufa kwa njaa aisee
 
Nimekwambia speed ingekua 160kph time ya kutoka dar to dom isingechukua zaidi ya 2hr 45min.
Unaelewa kingereza, as high as 160kph inamaanisha vipi??
View attachment 3046353
Acha kukaza fuvu bro.
Hiyo EMU ndio inaanza kazi speed itaongezwa tu.
Kwasababu treni inayoishia Morogoro inatumia saa moja na dakika 40 inamaana inatumia mwendo wa 166+kmph.
Na distance from Dar to Morogoro ni 300kms.
 
Tunajadili kuhusu express train zinazo simama morogoro pekeyake.View attachment 3046347
Kasi itaongezeka huo ni mwanzo.
Kwasababu hata ya sasa hivi kutoka Dar to Moro kasi imeongezwa.
Kuna muda watu hutumia hadi kisasa moja na nusu kufika Dar toka Morogoro ile treni ya jioni.
Maana inatembea hadi kasi ya 170kmph na Dar to Moro and vice versa ni 300km.
Sasa ingekua maximum speed 160kmph na operational speed ni 140kmph isingetumia 90 minutes kutembea umbali wa 300 kms.
 
๐”๐–๐€๐๐‰๐€ ๐–๐€ ๐๐ƒ๐„๐†๐„ ๐’๐Ž๐๐†๐–๐„ ๐Œ๐€๐Œ๐๐Ž ๐Œ๐€๐™๐”๐‘๐ˆ

1721401558926.png


1721401579323.png
 
Back
Top Bottom