Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya Kuna ombaomba ila sio kama Tanzania. Ndio maana umepost screenshot nyingi za incident moja. Alafu ukiangalia mazingira anayoombwa Kenya ni mazingira kame inaekeweka. Huko kwenu Kigoma kwenye mashamba na mvua ila mmeomba mzungu hadi akalalamika.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nani kakudanganya ilikua coincidence? Mimi namfatilia huyu toka hata hajaingia Africa in details, hii ni video nyingine mlikua mnavamia tena wanawake waliouchi mumuibie chakula ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ very aggressive hungry tribal kundustans ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Cha ajabu hakulalamika kihivyo sababu mlikua mnamuabudu pia ila kwa Tanzania kaombwa na watu watatu tu basi ndio anaichafua nchi nzima kisa hatumpi attention ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Screenshot_20240709-171619.jpg
Screenshot_20240709-171648.jpg
Screenshot_20240709-171931.jpg
 
Kenya Kuna ombaomba ila sio kama Tanzania. Ndio maana umepost screenshot nyingi za incident moja. Alafu ukiangalia mazingira anayoombwa Kenya ni mazingira kame inaekeweka. Huko kwenu Kigoma kwenye mashamba na mvua ila mmeomba mzungu hadi akalalamika.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ameenda kuleta wa samburu na orma wanaoishi kwenye jangwa kulinganisha na watu wa kigoma wenye ardhi ya rotuba na maji ๐Ÿ˜‚
 
Nani kakudanganya ilikua coincidence? Mimi namfatilia huyu toka hata hajaingia Africa in details, hii ni video nyingine mlikua mnavamia tena wanawake waliouchi mumuibie chakula ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ very aggressive hungry tribal kundustans ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Cha ajabu hakulalamika kihivyo sababu mlikua mnamuabudu pia ila kwa Tanzania kaombwa na watu watatu tu basi ndio anaichafua nchi nzima kisa hatumpi attention ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

View attachment 3037712View attachment 3037713View attachment 3037714
Hawezi lalamika kwa sababu hao ni tribal people, hata ukienda amazon forest brazil utapatana na watu wako half naked na watakuomba pesa na chakula.
Tatizo ni mtu alievaa shati limepigwa pasi na suruali ya khaki kuomba chakula bure bila kufanya kazi yeyote.
Mwengine ameshika jembe kando ya shamba alafu anasema do you have food for us hio ni jambo la kushtua na inaonesha uzembe mkubwa.
 
Hawezi lalamika kwa sababu hao ni tribal people, hata ukienda amazon forest brazil utapatana na watu wako half naked na watakuomba pesa na chakula.
Tatizo ni mtu alievaa shati limepigwa pasi na suruali ya khaki kuomba chakula bure bila kufanya kazi yeyote.
Mwengine ameshika jembe kando ya shamba alafu anasema do you have food for us hio ni jambo la kushtua na inaonesha uzembe mkubwa.
Em niletee huyo mtu aliemuomba chakula alievaa suruali!
 
Hawezi lalamika kwa sababu hao ni tribal people, hata ukienda amazon forest brazil utapatana na watu wako half naked na watakuomba pesa na chakula.
Tatizo ni mtu alievaa shati limepigwa pasi na suruali ya khaki kuomba chakula bure bila kufanya kazi yeyote.
Mwengine ameshika jembe kando ya shamba alafu anasema do you have food for us hio ni jambo la kushtua na inaonesha uzembe mkubwa.
Hapa hakuombwa chakula, alikua anakula yeye, alivyompa huyo jamaa ndio akaulizwa hiki ni chakula? Huoni kuna question mark? Tena mbele kidogo akamuuliza kama anakipenda au la! So technically hakuombwa chakula bali alitoa kwa hiyari yake tena jamaa mwenyewe hata hakua interested na chakula chake ukiangalia alitake a bite akakihold it back then akaanza kukichunguza ndio kino akamwambia that's banana then akaguna, kwa lafudhi huyo jamaa ni msukuma na msukuma akiguna hivyo maana yake hajafurahi

Screenshot_20240709-175951.jpg
Screenshot_20240709-180438.jpg
Screenshot_20240709-180142.jpg
 
Hivi mradi wenu upi uko fully funded by the government? Mmezoea kudanganywa kama mlivyodanganywa SGR ni fully funded by the government. Miradi yote mnayojichocha nayo humu ni either loans ama misaada. Mmelala fofofo matatizo tunayoyapinga huku kwa maandamano yapo kwenu hata zaidi alafu mnajiona wajanja? Afrika nzima imeona ujasiri wetu inajaribu kuiga nyinyi mko hapo na chuki zenu eti hamuwezi andamana juu hamna njaa. Yule mzungu Yves anawaumbua kule YouTube tunaona heri kwetu kuna nafuu kuliko huko kwenu na bado mnajiaminisha eti hamuandamani kisa mnajitosheleza? Tumeona nchi Tajiri kama Marekani kwenye uchumi wa kitown kidogo huko kama Austin chenye idadi ya watu laki tisa pekee umeshinda uchumi wa Tanzania nzima lakini bado wanaenda maandamano kisa high cost of living alafu nyie mko huko ombaomba hadi mnawakera wageni nchini mwenu na mmeexport hao ombaomba nchi jirani alafu bado mnajikenua eti hamuandamani kisa mko na land of milk and honey? Wajinga nyinyi.
1. Naomba waliofund Lot 1 ya SGR ($900m)
2. Naomba waliofund JNHPP (Tsh. 6 Trillion kuna mtu wa mkopo anaweza toa $3 Billion kujengea nchi bwawa alafu hiyo nchi raisi aweke Permanent Sovereignty on Natural resources meaning hata iweje dhamana yao haitakua mali yao, alafu huyo aliyetoa mkopo asitake kutangazwa eeeh kwa huo mchango mkubwa. Na sijui kama kuna lender atajitoa akili kuweka hizo pesa zote nchi ya Africa papo hapo mradi mmoja na ukamilike uwe mali 100% ya serikali)
3. Naomba Mkopo wa kujenga Dodoma Magufuli City source yake.
4. Naomba source ya mkopo wa Kibaha Kimara Highway
5. Naomba Source ya Mkopo ya Kijazi Interchage (Ubungo Interchage)
6. Naomba Source ya mkopo (fund) za Magufuli Bridge.
7. Naomba source ya Mkopo ya ujenzi wa TZ state house
8. Naomba Source ya mkopo ya Ujenzi wa Msalato International Airport na airports nyingine.
9. Naomba source ya mkopo ya Ujenzi wa Magufuli Bus Terminals, Tanga Bus Terminal, Dodoma Bus Terminal, Nyegezi Bus Terminal, Nyamahongolo Bus terminal.
10. Naomba Source ya Mkopo ya Ujenzi wa Oil Terminal ($270 million)
11. Naomba source ya Mkopo ya ujenzi wa Masoko ya kisasa (Job Ndugai (Dodoma), Kariakoo soko jipya, Magomeni, Soko la Mwanza).

List bado ni ndefu....

Kama hiyo yote tumekopa why Debit to GDP ratio ni ndogo, hatujafikia huko ujinga wenu mliokopa toka Enzi za Magufuli Eurobond na vitu tangible havifikii hata bei ya mradi mmoja wa BRT tuliokopa?
 
1. Naomba waliofund Lot 1 ya SGR ($900m)
2. Naomba waliofund JNHPP (Tsh. 6 Trillion kuna mtu wa mkopo anaweza toa $3 Billion kujengea nchi bwawa alafu hiyo nchi raisi aweke Permanent Sovereignty on Natural resources meaning hata iweje dhamana yao haitakua mali yao, alafu huyo aliyetoa mkopo asitake kutangazwa eeeh kwa huo mchango mkubwa. Na sijui kama kuna lender atajitoa akili kuweka hizo pesa zote nchi ya Africa papo hapo mradi mmoja na ukamilike uwe mali 100% ya serikali)
3. Naomba Mkopo wa kujenga Dodoma Magufuli City source yake.
4. Naomba source ya mkopo wa Kibaha Kimara Highway
5. Naomba Source ya Mkopo ya Kijazi Interchage (Ubungo Interchage)
6. Naomba Source ya mkopo (fund) za Magufuli Bridge.
7. Naomba source ya Mkopo ya ujenzi wa TZ state house
8. Naomba Source ya mkopo ya Ujenzi wa Msalato International Airport na airports nyingine.
9. Naomba source ya mkopo ya Ujenzi wa Magufuli Bus Terminals, Tanga Bus Terminal, Dodoma Bus Terminal, Nyegezi Bus Terminal, Nyamahongolo Bus terminal.
10. Naomba Source ya Mkopo ya Ujenzi wa Oil Terminal ($270 million)
11. Naomba source ya Mkopo ya ujenzi wa Masoko ya kisasa (Job Ndugai (Dodoma), Kariakoo soko jipya, Magomeni, Soko la Mwanza).

List bado ni ndefu....

Kama hiyo yote tumekopa why Debit to GDP ratio ni ndogo, hatujafikia huko ujinga wenu mliokopa toka Enzi za Magufuli Eurobond na vitu tangible havifikii hata bei ya mradi mmoja wa BRT tuliokopa?
Maana kuservice mkopo wa $10 Billion si mchezo
 
Hivi mradi wenu upi uko fully funded by the government? Mmezoea kudanganywa kama mlivyodanganywa SGR ni fully funded by the government. Miradi yote mnayojichocha nayo humu ni either loans ama misaada. Mmelala fofofo matatizo tunayoyapinga huku kwa maandamano yapo kwenu hata zaidi alafu mnajiona wajanja? Afrika nzima imeona ujasiri wetu inajaribu kuiga nyinyi mko hapo na chuki zenu eti hamuwezi andamana juu hamna njaa. Yule mzungu Yves anawaumbua kule YouTube tunaona heri kwetu kuna nafuu kuliko huko kwenu na bado mnajiaminisha eti hamuandamani kisa mnajitosheleza? Tumeona nchi Tajiri kama Marekani kwenye uchumi wa kitown kidogo huko kama Austin chenye idadi ya watu laki tisa pekee umeshinda uchumi wa Tanzania nzima lakini bado wanaenda maandamano kisa high cost of living alafu nyie mko huko ombaomba hadi mnawakera wageni nchini mwenu na mmeexport hao ombaomba nchi jirani alafu bado mnajikenua eti hamuandamani kisa mko na land of milk and honey? Wajinga nyinyi.
Alafu kunywa maji kwanza, unaandika kwa hasira sana. Eti kitown kidogo kama Austin?
 
Bro, hamna cha kujivunia hapo. Mtu maskini hadi anakua ombaomba alafu asubuhi badala ya kwenda kazini yupo anakunywa pombe kwa kibanda kibovu hivo. Una shida ya akili.
Hiyo picha ya pili unaonyesha ili iweje? Lack of exposure ni kitu kibaya. Hiyo picha ya kawaida sana mmeitembeza humu hadi imechoka. Hivi mnadhani picha ya watu kwenye club wakijivinjari ni miujiza? Inaonekana haya mambo hamjayazoea. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Alafu unatania au upo unaifanyia Kenya Sarcasm? Kwamba sisi masikini na ombaomba hatuendi kazini? Cha ajabu ni food basket ya ukanda huu.

Nyie msioomba omba why msigeuze ardhi kame kua ya kilimo, na mnaofanya kazi kwa bidii why mnashindwa affords vitu cost of living ikichange mpaka muingie barabarani kuiba.

Nyumba za bati (Stoo ya vifaa vya ujenzi bongo) ndio dream house zenu?

Mnaweza peleka nje 1m tones za nafaka mambo yakawa fresh huko Kenya?

Usiniambie eti tuna ardhi ya rutuba si tumekua lazy hatuendi job na ombaomba means hadi chakula tunaomba omba watu (Which applies to you idiots (Ruzuku ya Unga).
 
Are you disputing the figures? If so, dispute with other figures.
If not, jifunze kunyamaza.

Kenyans have a higher Human Development Index than bongolala.
In short, a higher standard of living. The only reason bongolalas afford anything is because your country is full low standards. From housing, to food, to healthcare.

View attachment 3037463
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Ona huyu,

HDI

Standard of Living
Mabanda ya Nguruwe
Wanatafutiwa kazi za uhousekeeper nje ya nchi
Njaa kali (Mpaka unga umekua Nyara za Taifa)
Hawawezi afford kitu kukitokea economic changes.
Angalia makarai na ngarangara zilizozagaa CBD
Hawawezi afford expressway toll(๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ) chini gari nyingi kuliko juu.

Health
Mwenye ile picha jamaa yupo hospital analia kwenye mfuniko wa jaba yupo naiomba.

Any Government hospital huko ukunyani inaweza compete na Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI), Ocean Road Cancer Institute (ORCI), Medical Store Department (MSD) Juzi mlikua mnaomba TB drugs msisahau.

Human Development?
Kweli mtu akiona sura za wakenya unaona kuna development hapo kweli?
Kila kitu cha kijua kali.
 
Bro, Wacha story mingi, tunaongelea tabia ya Wabongo ya kuombaomba na imeonekana wazi. Usijaribu kuchanganya mada hapa hivi.

View attachment 3037659
Today I will defend Tanzaniaโ€ฆ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œโ€ฆ I think begging is in their culture.. like a way of showing appreciationโ€ฆ hata hapa America Kenyans will tell you stories of Bongos asking for favors all the timeโ€ฆ itโ€™s in their Ujamaa DNA โ€ฆ ( whatโ€™s yours is mine and whatโ€™s mine is yours too)โ€ฆ it might be primitive thinking but they mean no harmโ€ฆ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom