Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa nini umekimbia Kenya na kujifanya mmarekani kama sio ulimbukeni?😎
It’s called the land of endless opportunities…we can build Kenya from any part of the globe and we do.. this means our grandchildren will call Kenya Majuu….so wewe endelea kuchill hapo Tandale and your hopeless future generations.., am sure you are living your dream ….😂😂😂😂
 
It’s called the land of endless opportunities…we can build Kenya from any part of the globe and we do.. this means our grandchildren will call Kenya Majuu….so wewe endelea kuchill hapo Tandale and your hopeless future generations.., am sure you are living your dream ….😂😂😂😂
Wewe ni kinyago tu, hata ufanye nini. Wenzako wanajaribu kumng'oa Ruto na anaendelea kuwafyonza tu😎
 
Hiv ni nani alivunja reli ya Voi hadi Arusha. Ni Tanzania au kenya?
Mnapenda kuplay victims sana wakati nyinyi ni vigeugeu na watu wa hovyo.

Hebu msikilize Kikwete hapa kuanzia dk ya sita...Nani aling'oa Reli ya voi kama sio nyinyi na coalition of willing zenu


View: https://youtu.be/46vpJFkkBzQ?si=DBaTCXFU0hVKIc5G

Kwanza ni wapumbavu sijaona logic yeyote ya kung'oa Ile reli maana ingsfanya mizigo yote ya Northern Tanzania Kupitia Mombasa ila mizigo ya Uganda mingine ingeoitia MwanA au Musoma port but still mnufaika angekuwa Kenya na bandarinuetu ya Tanga isingekuwa na Tija sana.

Sasa ni hivi ukimwaga ugali tunamwaga mboga ,na Tzn tumepiga Pini Barabara ya Mombasa-Voi-Holili kusafirisha mzigo wa Kundustan Hadi hapo tutakapojenga Barabara ya Handeni -Kondoa-Singida Ili Bandari ya Tanga itumike vizuri.
Screenshot_20240709-050554.jpg


Ona Kilio Cha Kundustan hapa 👇👇

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1808064957981892785?t=M7QabtQjkHs8gSZx0Zv-ww&s=19

My Take: Tukirogwa na kuruhusu hii route manake Rwanda,Burundi na North Eastern DRC watumie Bandari ya Mombasa ila Dar na Tanga Port zibakie kuwa Bandari saizidi wa Mombasa,hili halitawezeiana panda Kundustan mjenge reli ya Voi na sisi tujenge reli ya Musoma Ili tugawane mzigo wa Uganda.
Screenshot_20240709-050154.jpg
 
Kwanza ni wapumbavu sijaona logic yeyote ya kung'oa Ile reli maana ingsfanya mizigo yote ya Northern Tanzania Kupitia Mombasa ila mizigo ya Uganda mingine ingeoitia MwanA au Musoma port but still mnufaika angekuwa Kenya na bandarinuetu ya Tanga isingekuwa na Tija sana.

Sasa ni hivi ukimwaga ugali tunamwaga mboga ,na Tzn tumepiga Pini Barabara ya Mombasa-Voi-Holili kusafirisha mzigo wa Kundustan Hadi hapo tutakapojenga Barabara ya Handeni -Kondoa-Singida Ili Bandari ya Tanga itumike vizuri.
View attachment 3037128

Ona Kilio Cha Kundustan hapa 👇👇

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1808064957981892785?t=M7QabtQjkHs8gSZx0Zv-ww&s=19

My Take: Tukirogwa na kuruhusu hii route manake Rwanda,Burundi na North Eastern DRC watumie Bandari ya Mombasa ila Dar na Tanga Port zibakie kuwa Bandari saizidi wa Mombasa,hili halitawezeiana panda Kundustan mjenge reli ya Voi na sisi tujenge reli ya Musoma Ili tugawane mzigo wa Uganda.
View attachment 3037129

Mtaelewa lini biashara si emotions
 
Kojoa ulale.
Broke Kenya can run Tanzania, Burundi, Rwanda and Uganda combined. With change for South Sudan. 😂 😂
Ona hii mbwa, toka lini mlikua na pesa, au GDP yenu ya makaratasi?

Kama mngekua na pesa za kurun government naamini wizara ya kilimo ingetatutua njaaa inayowasumbua toka mpate uhuru.

Imagine NJAA (Inability to access food which is basic needs).
 
Kenya employs twice as many police as Tanzania.
Kenya employs twice as many doctors as Tanzania.
Kenya employs 1.5 times as many teachers as Tanzania.

Kenya pays its, teachers, police, doctors, civil servants and government workers 2-3 times Tanzania.

Wewe umelipa kodi Mathare unadhani utashindana kunya na aliyechelewa kidogo kulipa yake Karen.
I feel kama unaflash ubongo, if mnalipa twice mbona hao wote wanashindwa afford bei ya unga From Tz?

Pia wanaingia Barabarani kufanyaje?

Eti pays 3 times nye nyenye hata mlipe mara 10 still wana hali mbaya mpaka kila mwaka wako barabarani..

Nasikia huu mwezi wa 6 hawajalipwa,.
 
Wapumbavu wa kuandamana na eti democrazy boraa.

Katiba wamechange

BBI HANDSHAKE WAMEFANYA

Maandamano kila mwaka, mara madaktari mara Gen Z, mara Uchaguzi.

Kila mwaka, still mambo ni yale yale kila mwaka linchi lina nuka uvundo, kila mradi ni kukopa, mwaka mzima hakuna mradi hata 200m full funded na Government.
 
Wapumbavu wa kuandamana na eti democrazy boraa.

Katiba wamechange

BBI HANDSHAKE WAMEFANYA

Maandamano kila mwaka, mara madaktari mara Gen Z, mara Uchaguzi.

Kila mwaka, still mambo ni yale yale kila mwaka linchi lina nuka uvundo, kila mradi ni kukopa, mwaka mzima hakuna mradi hata 200m full funded na Government.
Nchi ya kimavi mavi sn Kenya.
 
Hiv ni nani alivunja reli ya Voi hadi Arusha. Ni Tanzania au kenya?
Mnapenda kuplay victims sana wakati nyinyi ni vigeugeu na watu wa hovyo.

Hebu msikilize Kikwete hapa kuanzia dk ya sita...Nani aling'oa Reli ya voi kama sio nyinyi na coalition of willing zenu


View: https://youtu.be/46vpJFkkBzQ?si=DBaTCXFU0hVKIc5G

What are you talking about you Bongolala? The railway from Voi to Taveta is still intact only in disuse. Wewe unafuata mambo ya Mwanasiasa anayejaribu kutetea maamuzi yake mabovu akiwa madarakani? Huoni sahii anasema hakualikwa kwenye coalition of the willing wakati unajua alikataa mwenyewe mambo ya Visa moja? Ama Wakenya walikuja wakan'oa section ya reli iliyoko upande wa Tanzania wakawacha upande wa Kenya?🤣 🤣
 
Wapumbavu wa kuandamana na eti democrazy boraa.

Katiba wamechange

BBI HANDSHAKE WAMEFANYA

Maandamano kila mwaka, mara madaktari mara Gen Z, mara Uchaguzi.

Kila mwaka, still mambo ni yale yale kila mwaka linchi lina nuka uvundo, kila mradi ni kukopa, mwaka mzima hakuna mradi hata 200m full funded na Government.
Hivi mradi wenu upi uko fully funded by the government? Mmezoea kudanganywa kama mlivyodanganywa SGR ni fully funded by the government. Miradi yote mnayojichocha nayo humu ni either loans ama misaada. Mmelala fofofo matatizo tunayoyapinga huku kwa maandamano yapo kwenu hata zaidi alafu mnajiona wajanja? Afrika nzima imeona ujasiri wetu inajaribu kuiga nyinyi mko hapo na chuki zenu eti hamuwezi andamana juu hamna njaa. Yule mzungu Yves anawaumbua kule YouTube tunaona heri kwetu kuna nafuu kuliko huko kwenu na bado mnajiaminisha eti hamuandamani kisa mnajitosheleza? Tumeona nchi Tajiri kama Marekani kwenye uchumi wa kitown kidogo huko kama Austin chenye idadi ya watu laki tisa pekee umeshinda uchumi wa Tanzania nzima lakini bado wanaenda maandamano kisa high cost of living alafu nyie mko huko ombaomba hadi mnawakera wageni nchini mwenu na mmeexport hao ombaomba nchi jirani alafu bado mnajikenua eti hamuandamani kisa mko na land of milk and honey? Wajinga nyinyi.
 
Back
Top Bottom