President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Wewe 24/7 upo hapa JF upo na account more than 20 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Lakini mzee nakupa kongole kwa kufanya multitasking, how many hours do you spend in a day behind the screen.
Wewe 24/7 upo hapa JF upo na account more than 20 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Lakini mzee nakupa kongole kwa kufanya multitasking, how many hours do you spend in a day behind the screen.
wenzako wameanza kulia. Na hapo bado zijaanza nikianza. Mtaifunga KT 🤣🤣🤣👇👇👇Lakini mzee nakupa kongole kwa kufanya multitasking, how many hours do you spend in a day behind the screen.
Umekula bibie?Mikumi national park siku hizi you can do a day game drive from Dar.
![]()
Expatriates in Dar es salaam | 🦁Day trip to Mikumi national park from dar es salaam by speed train 🚆 | Facebook
🦁Day trip to Mikumi national park from dar es salaam by speed train 🚆 *Highlights* 🦁Mikumi National parks rich in wildlife like buffalo, elephant, lions, wildebeests, Maasai giraffe, hippos,...www.facebook.com
Jamaa ana appetite kama mama mjamzito 😬😬Mzee wa Milo tano ya kuomba.😂😂
Ebu turushie picha za bibi titi 😂😂😂
Nimewaambia wenzako huko KT I don't deal with trivial issues, I deal with intelligent things. so Tafuta mtu wa kujadiliana naye mambo hayo.Ebu turushie picha za bibi titi 😂😂😂
Bible Rhaenyra Targaryen yupo jamani nisipomsikia huwa nakosa furaha 😔Mzee wa Milo tano ya kuomba.😂😂
Unatafuta basha kijana unataka kuzibuliwa mtaro?Umekula bibie?
It’s ok … we got Amahoro stadium in Rwanda…that means total 6 stadiums already available ( Kenya has 3 )… so thanks for your time… goodbye and don’t let the door hit you on your way out ..😂😂CAF wakithibitisha hili, itabidi tuwaachie wakunya waandae peke yao.
Hzo tatu Kenya ziko wapi??😅😅😅😅It’s ok … we got Amahoro stadium in Rwanda…that means total 6 stadiums already available ( Kenya has 3 )… so thanks for your time… goodbye and don’t let the door hit you on your way out ..😂😂
Arusha ina wazungu kama wote ambao wanafurahia mazingira kiasi wengine wameamua kubaki na kuendesha maisha hapo hapo Arusha.Umekula kwanza View attachment 3037477
Kwa akili zako unadhani huyo jamaa ana njaa!?Ningekuwa na uwezo ningetengeza hii iwe billboard kubwa alafu tuiweke pale JNIA na caption ya Do not feed the animals 😬😂😂😂😂View attachment 3037526
Hata kama inaendesha kwa pesa za mkopo kazi inaonekana na bado atujafikia kwenye nchi zenye madeni makubwa,kunyan tuonyesheni mradi ambao mnaweza kusema pesa yote mliyokopa labda ipo kwenye huo mradiHivi mradi wenu upi uko fully funded by the government? Mmezoea kudanganywa kama mlivyodanganywa SGR ni fully funded by the government. Miradi yote mnayojichocha nayo humu ni either loans ama misaada. Mmelala fofofo matatizo tunayoyapinga huku kwa maandamano yapo kwenu hata zaidi alafu mnajiona wajanja? Afrika nzima imeona ujasiri wetu inajaribu kuiga nyinyi mko hapo na chuki zenu eti hamuwezi andamana juu hamna njaa. Yule mzungu Yves anawaumbua kule YouTube tunaona heri kwetu kuna nafuu kuliko huko kwenu na bado mnajiaminisha eti hamuandamani kisa mnajitosheleza? Tumeona nchi Tajiri kama Marekani kwenye uchumi wa kitown kidogo huko kama Austin chenye idadi ya watu laki tisa pekee umeshinda uchumi wa Tanzania nzima lakini bado wanaenda maandamano kisa high cost of living alafu nyie mko huko ombaomba hadi mnawakera wageni nchini mwenu na mmeexport hao ombaomba nchi jirani alafu bado mnajikenua eti hamuandamani kisa mko na land of milk and honey? Wajinga nyinyi.
Chakula shida kule LDC
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂View attachment 3037468
Hivi tuamini maneno yako hewa ama tunachoona na kuskia?😂Kwa akili zako unadhani huyo jamaa ana njaa!?
Tanzania ni watu wa mzaha ila Kigoma hakuna sehemu kuna njaa mzee.