Tunawakumbusha tu wakenya hapo sio mjini kati ni Mwenge almost 20km from CBD
Una uhakika huyo anachoongea ni sahihi!?Hivi tuamini maneno yako hewa ama tunachoona na kuskia?😂
Mimi siangalii anachosema, naangalia kinachotendeka. Nimeona wabongo kadhaa wakimuomba pesa na chakula. Sio maneno tupu Bali Kuna recorded video evidence.😂😂Una uhakika huyo anachoongea ni sahihi!?
Umeona any sign of famine katika hilo eneo alilopita huyo jamaa!?
Maduka ya vyakula na vinywaji yanafunguliwajwe sehemu ambazo kuna njaa ama ukata wa pesa!?
Ama kweli ninyi ni waabudu wazungu.
Una uhakika hao hawana pesa na chakula!?Mimi siangalii anachosema, naangalia kinachotendeka. Nimeona wabongo kadhaa wakimuomba pesa na chakula. Sio maneno tupu Bali Kuna recorded video evidence.😂😂
Nina uhakika hawana. Wee ni mjinga sana. Kuwepo kwa duka hakumaanisha mtu ana hela. Wabongo wenzako wamejazana Nairobi na Nakuru tena mbele ya maduka makubwa wanaombaomba pesa na chakula.Una uhakika hao hawana pesa na chakula!?
Biashara zimefunguliwajwe sehemu ambayo kuna famine na ukata wa pesa!?
We kweli bwege,sibishani ujinga.Nina uhakika hawana. Wee ni mjinga sana. Kuwepo kwa duka hakumaanisha mtu ana hela. Wabongo wenzako wamejazana Nairobi na Nakuru tena mbele ya maduka makubwa wanaombaomba pesa na chakula.
Hivi hapa vitu vya maana. achana na uchafu wa wakenya
View: https://youtu.be/OPaaJLyNJPo?si=5wcIhKLBTpH9Rikj
Huyo mzungu namjua sana. Watakuwa wamemtuma ili aongee shit kuhusu TZ.Hiv ndo wanamsikiliza mzungu yule anasema Dar haina sidewalks😂😂.
Tatizo wakenya wanawasikiliza na kuwaabudu wazungu sana. Wanadhani hakuna wazungu vilaza, poor minded, stupid, who lack exposer etc. wakiona anaongea kingereza basi wanaona yuko bora na amelimika.
Kenyans have a long way to go from ignorance and illiteracy
Bro, Wacha story mingi, tunaongelea tabia ya Wabongo ya kuombaomba na imeonekana wazi. Usijaribu kuchanganya mada hapa hivi.We kweli bwege,sibishani ujinga.
Kungekuwa hakuna pesa na kuna njaa kusingekuwa na mzunguko wa biashara na maendeleo mengine.
Usilete poor justification ya watanzania wachache waliofeli kupambana.
UtotoBro, Wacha story mingi, tunaongelea tabia ya Wabongo ya kuombaomba na imeonekana wazi. Usijaribu kuchanganya mada hapa hivi.
View attachment 3037659
Kunyaland kila mtu alikua anamuomba mzungu chakula na hela toka aingie Kunyaland mpaka anatoka wakundustan wengine mpaka walikua wanamuibia chakula 😂😂😂😂😂Bro, Wacha story mingi, tunaongelea tabia ya Wabongo ya kuombaomba na imeonekana wazi. Usijaribu kuchanganya mada hapa hivi.
View attachment 3037659
Una uhakika huyo anachoongea ni sahihi!?
Umeona any sign of famine katika hilo eneo alilopita huyo jamaa!?
Maduka ya vyakula na vinywaji yanafunguliwajwe sehemu ambazo kuna njaa ama ukata wa pesa!?
Ama kweli ninyi ni waabudu wazungu.
Kenya Kuna ombaomba ila sio kama Tanzania. Ndio maana umepost screenshot nyingi za incident moja. Alafu ukiangalia mazingira anayoombwa Kenya ni mazingira kame inaeleweka. Huko kwenu Kigoma kwenye mashamba na mvua ila mmeomba mzungu hadi akalalamika.😂😂Kunyaland kila mtu alikua anamuomba mzungu chakula na hela toka aingie Kunyaland mpaka anatoka wakundustan wengine mpaka walikua wanamuibia chakula 😂😂😂😂😂
View attachment 3037665View attachment 3037666View attachment 3037667View attachment 3037668View attachment 3037669View attachment 3037670