Nchi ya kimavi mavi sn Kenya.
Ni toka 1990s wanaandamana ila Nchi iko vile vile alafu wanatupigia kelele eti hatuandamani, tuandamaneje ikiwa serikali inasikiliza hoja?
Wanaandamana unga wa ugali? Bei ya mazao ikipaaa si tunapeleka kelele waziri huyu hapa stock ya NFRA inafunguliwa?
Alafu mikakati ya Ruzuku kwa pembejeo inaanzishwa ili mkulima akiuza ndani asilie sana.
Bei ya Mafuta? Ukiwa na gari CNG ipo fresh tu unachange, Kodi mbona viongozi wanafika?
Sakata la DP World mbona tulikomaa wakaacha ujinga wa kurekebisha Permanent Sovereignty law.
Mnatakaje basi? Kila mahali kuna alternative na sometimes zinakua from government, vijana hao wanagawiwa vipande vya ardhi na kusaidiwa left right. Walilie nini?
Umachinga unaruhusiwa na unalipa masoko ni mengi nchini, Media zinaajiri vijana kila kukicha. Tufanyeje?
Sababu kuu hatuandamani ni serikali haijawahi kutuweka kwenye kona kiasi kwamba ikipitisha kitu wote tunakufa njaa.
Usituone hivi, kumbuka mtwara waliingia barabarani kisa gesi kuja Dar mpaka vifaru viliingia, Guess what now mradi wowote related na gesi unaishia mtwara na Walijengewa kituo cha kufua umeme via Gas (Gas Kwenda dar ni kufua umeme Kinyerezi na Ubungo), Walipelekewa Dangote Cement kwa Ajiri ya Ajira, Cashew nuts ikawekewa mkakati ili irudishe pesa kuwe na alternative sources of income.
Sisi sio nyie tuna misingi yetu ya kitaifa. Ndio maana tunasema siku zote Jomo Kenyatta aliwapoteza kabisa.