Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ajabu ni kwamba kabla 2003 tanzania ilikua na uchumi mkubwa kuliko Kenya. Mambo yakaanza kubadilika baada ya Kibaki kuapishwa na mpaka Leo gap inazidi kupanuka
Uchumi mkubwa sio maendeleo pimbi wewe, mbona uchumi wenu kimaandishi unaonekana mkubwa kuliko wetu, na maendeleo je?
 
Majonzi gani?

Is it not true that kenya produces more electricty than Tanzania?

Is it not true that kenya consumes more electricy than Tanzania?

Is is not true that Kenya's SGR can be electrified in it's current state?

And lastly, is it not true that treni yenu ilikwama baada ya kukatika umeme?
Senge lingine hili hapa, oneni argument yake, wallahi makenya hayana akili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ulimbukeni wenu na ushamba. lack of exposure inawasumbua sana. Ndio maana kitu kidogo tu za ka uwanja kila baada ya saa moja mnaweka picha JF. Kifusi kikibebwa na Tipper trip zote mnaweka humu JF. 🤣🤣🤣🤣 Huu ni ushamba

View: https://youtu.be/sZ420sDOumE?si=SIptmZZ7npKElAxX

Washamba sana wakenya, sisi tuna miradi mingi mizito mizito na wala huoni tukipost post hovyo, biggest truck assembly plant in East and central Africa ipo Tanzania na wala hatukuwa tukipost ujenzi wake mpaka wamestuka ufunguzi huu hapa wakachanganyikiwa, kule Dodoma kuna Indoor Arena inajengwa kimya kimya na hakuna picha hata moja imewekwa humu, watastukia inawekwa ikiwa full package, hizo ni dalili za developed country.
 
Mzee haupo kwenye utalii unatuzuga tu. 🤣 🤣 🤣 🤣 Nadhani kunademu hapo AIr Tanzania kakukataa umekuwa na hasira za kipumbavu. Tafuta pesa mzee utapata mademu wazuri tu.
Huyo jamaa ni kiazi sana. Ni kama alisomea Kenya vile 😎
 
Back
Top Bottom