Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Military doesn’t put their budget on public. Ama kuna place umeona budget ya Kasarani and Nyayo Stadium renovation?
KAZI ya military ni supervise lakini sio owner wa mradi hio weka akilini, talanta inajengwa na mchina mwenyewe kwa ule mlango wanyuma ambayo hua munadanganya na politicians kua ni PPP👇👇👇👇👇

 
Walikuwa wameongeza mshahara kwa 100% mm nikawa nauliza wanawezaje kuongeza mshahara wakati kampuni inakula hasara namna hii? Yani bro mm kama nataka kusafiri kwenda nje wallahi sipandi KQ hata iweje, hiyo ndege ni headache, ina ma cancellation na ma delays kama yote. Hakuna siku Kenya airways ikakosa miyeyusho.
 
Walikuwa wameongeza mshahara kwa 100% mm nikawa nauliza wanawezaje kuongeza mshahara wakati kampuni inakula hasara namna hii? Yani bro mm kama nataka kusafiri kwenda nje wallahi sipandi KQ hata iweje, hiyo ndege ni headache, ina ma cancellation na ma delays kama yote. Hakuna siku Kenya airways ikakosa miyeyusho.
Failed airline in Africa 😅😅😅😅😅
 
Chupa limeamka na chai

1716362548773.png



1716364228634.png
 
Best education system in Africa…. Prepared me well for my future… American system was a piece of cake for me due to the solid foundation i received in Kenya…And if I ever become the President of Kenya, I will claim back Kilimanjaro and make the oceanic border straight equivalent to our Somali border, meaning you gonna loose half of Pemba…remember this…🤣🤣🤣
How about giving back the whole coast of Kenya to it's rightful owners 🤣🤣
 
Kama unapata nafuu ya maumivu ukisema hivi endelea kujifariji.
Najua hampendangi ukweli.

When it comes to Human development Kenya is on the medium development rank while Tanzania still struggles at lower Development rank. That’s why Tanzania is still a Least Developed Country.

IMG_0240.png
 
Back
Top Bottom