ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani talanta inajengwa na Nani?? 🤣🤣🤣Military doesn’t put their budget on public. Ama kuna place umeona budget ya Kasarani and Nyayo Stadium renovation?
Kwani talanta inajengwa na Nani?? 🤣🤣🤣Military doesn’t put their budget on public. Ama kuna place umeona budget ya Kasarani and Nyayo Stadium renovation?
Wacha wajinga Waendelee kuliwa 👇👇
View: https://twitter.com/BBCAfrica/status/1792978555501981825?t=UST8JlvGzofxCetBu2O0lQ&s=19
Confirm ya korogocho au Matakos International Stadium kwanza ndio urudi hapa 😁Tuonyeshe roof ya Azam stadium. Kuna kitu nataka kuconfirm.
Hii hapa 😁😁😁👇👇Jet hire kwani hakuna Air Force 1 Kenya? Nchi yenye jidipii kubwa East Africa 🤣🤣🤣
Au ile mbwa kachoka haiwezi vuka Atlantic Ocean kama globetrotters 🤣🤣🤣
KAZI ya military ni supervise lakini sio owner wa mradi hio weka akilini, talanta inajengwa na mchina mwenyewe kwa ule mlango wanyuma ambayo hua munadanganya na politicians kua ni PPP👇👇👇👇👇Military doesn’t put their budget on public. Ama kuna place umeona budget ya Kasarani and Nyayo Stadium renovation?
Wakenya naombeni tafadhalini malizeni ugonvi na Yule MTU aliewalaani 🙌🙌🙌🙌
200m ksh aloooo🤣🤣🤣🤣
View: https://x.com/omwambaKE/status/1792633685210005603?t=y4Il4SJ5dHStTwhOYiXlkw&s=19
Msaada kutoka China, baba aliyewajengea bure at least over 90% ya vimiradi vyao wanavyopost humu ukiacha vi apartment nzee vilivyojengwa na foreigners miaka ya 70.Who is funding talante stadium ? Who is building it ?
Aiseee huwezi kufanikiwa kua na pesa Kenya kama hauko kwenye siasa 😅😅😅😅Atiii aki hii kama si unjinga ni nini si angeenda kwa Southern neighbour watupee ile globetrotter yao halafu tutie mafuta tuu.
Embu atuoneshe hiyo 60k stadium huko kwao ambayo ni specific to footballNa kwanini umeweka neno specific, unaogopa nini 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Sina haja ya kutajataja vitu ambavyo vipo humu, kama umeumia pole.Tanzania imeshinda Kenya kwa maendeLeo hipi?
Walikuwa wameongeza mshahara kwa 100% mm nikawa nauliza wanawezaje kuongeza mshahara wakati kampuni inakula hasara namna hii? Yani bro mm kama nataka kusafiri kwenda nje wallahi sipandi KQ hata iweje, hiyo ndege ni headache, ina ma cancellation na ma delays kama yote. Hakuna siku Kenya airways ikakosa miyeyusho.
Failed airline in Africa 😅😅😅😅😅Walikuwa wameongeza mshahara kwa 100% mm nikawa nauliza wanawezaje kuongeza mshahara wakati kampuni inakula hasara namna hii? Yani bro mm kama nataka kusafiri kwenda nje wallahi sipandi KQ hata iweje, hiyo ndege ni headache, ina ma cancellation na ma delays kama yote. Hakuna siku Kenya airways ikakosa miyeyusho.
There’s no development that Tanzania is ahead of Kenya in. Kenya is ahead of Tanzania in both infrastructure and human development.Sina haja ya kutajataja vitu ambavyo vipo humu, kama umeumia pole.
Kama unapata nafuu ya maumivu ukisema hivi endelea kujifariji.There’s no development that Tanzania is ahead of Kenya in. Kenya is ahead of Tanzania in both infrastructure and human development.
How about giving back the whole coast of Kenya to it's rightful owners 🤣🤣Best education system in Africa…. Prepared me well for my future… American system was a piece of cake for me due to the solid foundation i received in Kenya…And if I ever become the President of Kenya, I will claim back Kilimanjaro and make the oceanic border straight equivalent to our Somali border, meaning you gonna loose half of Pemba…remember this…🤣🤣🤣
Najua hampendangi ukweli.Kama unapata nafuu ya maumivu ukisema hivi endelea kujifariji.