Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunazo tatu approved tuonesheni yenu ambayo iko approved so far 🤣🤣🤣🤣🤣

Arusha na dodoma tunajenga other modern stadiums hio weka akilini kabisa usije kusahau😂😂😂

Alaf mulivokua mahayawani badala kujenga stadium sehemu kama Mombasa kwa ajili ya kukuza uchumi wa coast kipindi cha AFCON kiwanja munajenga Nairobi, wakat Sisi huku tunajenga mikoa tofaut tofaut
IMG_0230.png
IMG_0232.png
 
Tofauti na hule Msaada wa Mchina ebu tuambie ni gani tena iko approved😂😂😂
Narudia tena 🤣🤣🤣👇👇👇👇

Tanzania ina 3 CAF approved stadiums, je Kenya inazomiliki ngap so far??? Naomba jibu
 

Mvulana wa chumba cha kuhara, una mazoea ya kuleta video zilizopigwa filter na kuonyesha stand zilizofunikwa na mashabiki ndio ufiche aibu wa viwanja zenu uchwara. Huu hapa uwanja wa Arusha kwa Google Maps. Hamna tofauti na alichopost Reborn Ktb . Huwa unasema mzungu hadanganyi, haya sasa, huyu hapa mzungu wa Google map. Sii Myemeni. Halafu ni kama mmelaaniwa vile na kuset stand zenu kombo na uwanja ulivyo halafu kila siku mnajikungúta humu eti mafundi wenu ndio kiboko yao.

Screenshot 2024-05-20 135516.png
 
How many Tanzanians can follow their teams like this to Germany? None. Reason being Tanzanians have no financial muscles to travel around.

1716202616724.jpeg
 
Mvulana wa chumba cha kuhara, una mazoea ya kuleta video zilizopigwa filter na kuonyesha stand zilizofunikwa na mashabiki ndio ufiche aibu wa viwanja zenu uchwara. Huu hapa uwanja wa Arusha kwa Google Maps. Hamna tofauti na alichopost Reborn Ktb . Huwa unasema mzungu hadanganyi, haya sasa, huyu hapa mzungu wa Google map. Sii Myemeni. Halafu ni kama mmelaaniwa vile na kuset stand zenu kombo na uwanja ulivyo halafu kila siku mnajikungúta humu eti mafundi wenu ndio kiboko yao.

View attachment 2994986
Haya wachukie basi Azam TV kwakutuonesha live videos na mechi zikichezwa 😂😂😂😂😂😂😂
Tena mechi ya usiku


View: https://twitter.com/MasheneneRobert/status/1779191717280788861?t=cb5zRZ_HvTP0j9vvW9Vptw&s=19
 
Back
Top Bottom