Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Please tag me akirundi na actual answer…he will just take you on a goose chase… it’s hard to argue with a foolish person coz they will drag you to the bottom where they dwell and then beat you with experience 🤣🤣🤣
He is the second most foolish person on this thread after Magonjwa Mtambuka
 
Kama CAG, ATCL na Serikali wanasema ATCL ni hasara tupu, mimi ni nani nipinge hapo?

Upande wa pili, unapaswa kufahamu tu, hahitajiki kuwepo kwa ATCL ili wageni waingie na kutoka kwa wingi hapa Tanzania. Kuna makampuni kibao ya ndege yanafanya hizo route.
Hakuna nchi yoyote duniani imefanikiwa kukuza utalii bila kuwepo na airline inazomiliki, faida ya kua na airline Kwanza itafata watalii kwa urahisi maana yake ni direct flight hakutakua na flights za kuungaunga,

alaf pili kuwepo na airline yako maana yake unaweza kutangaza utalii na nchi kwa ujumla kupitia ndege unazomiliki,

alaf tatu unafanya biashara hence ajira kwa wananchi zinapatikana, marubani, engineers, technicians, supervisors etc ambazo ni direct employment alaf kuna indirect employment zinazalishwa nyingi kupitia airline

Alaf nne kuna cargo business ambayo mazao yako au cash crops zako au samaki, nyama etc utaweza Kusafirisha moja kwa moja kwenye soko
 
So unataa kila second tuoneshe project yetu ya ujenzi wa viwanja vya Dodoma na Arusha? 🤣 🤣 🤣 🤣 Exposure inawasumbua sana.
Wapi mnajenga Arusha ama Dodoma ??… you have really stooped too low even for your usual asinine standards… and that’s an understatement Kilaza..🤣🤣
 
Please tag me akirundi na actual answer…he will just take you on a goose chase… it’s hard to argue with a foolish person coz they will drag you to the bottom where they dwell and then beat you with experience 🤣🤣🤣
Hebu tukumbushe you are a PHD holder of what really?🤣🤣🤣🤣 Dr. of Foolishness
 
Official visit in 2022 … Venus idiot will still ask, what’s the difference between then and now .. they will take the picture together same way…🤣🤣🤣… what an idiot he is!..🤣🤣

IMG_3577.jpeg
 
I feel you budaa. Barua yako imejaa majonzi na matumaini, usikate tamaa. 😎
Majonzi gani?

Is it not true that kenya produces more electricty than Tanzania?

Is it not true that kenya consumes more electricy than Tanzania?

Is is not true that Kenya's SGR can be electrified in it's current state?

And lastly, is it not true that treni yenu ilikwama baada ya kukatika umeme?
 
This is something many Tanzanians seem to forget.
At independence, Tanzania had a bigger economy than Kenya. Kenya overtook Tanzania in the 1970s. Tanzania then overtook Kenya in the 80s and remained ahead of Kenya until 2005 when Kenya overtook Tanzania. Hizi hadithi zao za eti mzungu alituwachia uchumi mkubwa ilhali wao wamefanyia uchumi wao kazi ni potovu.
Interesting, Umetoa wapi data kua Tanzania independence tulikua na uchumi mkubwa kuliko Kenya, a country which was mostly plantation economy, and manufacturing virtually non existent?
 
Majonzi gani?

Is it not true that kenya produces more electricty than Tanzania?

Is it not true that kenya consumes more electricy than Tanzania?

Is is not true that Kenya's SGR can be electrified in it's current state?

And lastly, is it not true that treni yenu ilikwama baada ya kukatika umeme?
Source of Electricity built during colonial. Built by Queen Elizabeth. Tell us which source of Electricity built by Kenyan?
 
Back
Top Bottom