Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona sasa umechoka unaokoteza tu. Weka jina la project tuone
1705762860789.png


Each block will have 22 floors

1705762891167.png
 
Wewe akili ulizonazo ziko wapi? Mbuzi wa kienyeji mkubwa.

Naunga mkono wazo la kuanza kufikiria kuondoa Makao Makuu ya AU hapo Addis na kuhamishia Arusha Kwa sababu Nchi inayoleta uchokozi wa kimipaka Kwa majirani zake inakiuka misingi ya uhuru ya AU.
View attachment 2876047
kama AU wataondoa ofisi Addis basi shida sio sakata la Somaliland bali shida itakua ni security instability ya Ethiopia.
 
Zanzibara imeshaunda Muungano na Tanzania na hawakulazimishwa huu Muungano .
Ila Somaliland haikutaka muungano.
Na kama Zanzibar ingekataa muungano tusingewalazimisha.
Na zanzibar ipo katika muungano wa serikali mbili maana pia nao wana bendera na rais wao.
Ila Somalia inataka muungano wa serikali moja hapo sijui bro umeelewa??
Yani rais mmoja ,bendera moja na serikali moja.
Kitu kama hicho Somaliland hawataki.
Eti hawakulazimishwa 😂😂,basi watakuwa wametapeliwa 🤣🤣
 
Bro una kichwa kigumu wewe.
Somaliland inajitegemea kwa kila kitu mpaka sarafu we utawalazimishaje kuwa sehemu ya Somalia?
Taiwan nayo ina uongozi wake ,sarafu yake,katiba yake na bendera yake ni vile China anataka airudishe iwe sehemu ya China people's republic.
Ila ni ngumu maana Taiwan ishajipambanua kidiplomasia kama inavyofanya Somaliland.
Bro unatakiwa ujifunze vingi kuhusu diplomasia .
Italazimiehwa kama Taiwan inavyolazikishwa.Zingekuwa Nchi huru zingeshatambuliwa Kimataifa.

Basi iambie Ethiopia ikapeleke Base na ichukue Ardhi wanayodai wameikodi kienyeji waone kitakachofuata.

Alshabab watawafuata huko huko Addis , uzuri Jimbo mojawapo la Ethiopia Lina Wasomali watupu.
 
Stop posting completed projects. This just proves my point that there's no housing construction going on in Tanzania right now 😂😂
Huko Kunyaland kuna tatizo kubwa la Ardhi na raia common kama mimi hawana uwezo wa kumiliki Ardhi na kuiendeleza hivyo wanategemea hizo mabweni za serikali.

So Tanzania hatuna haja saaana na vertical extension Kwa sababu tunaweza kujenga nyumba zetu dream houses kuanzia Vijijini Hadi Mjini so hatuhitaji sana mabweni.

Ingekuwa na maana kama tungekuwa ni homeless.Mwisho njoo nikukodoshie Ardhi ya kilimo ninayo kama yote.
 
Wewe nipumbavu na hujui chochote, wacha kujiabisha 😂😂😂 haya kula chuma hicho 👇View attachment 2876527chuma inasoma 176 hiyo kama hujui chochote ni bora usichangie au kaa kimya walau utaonekana una maana
Huyu jamaa anachekesha.
Hakuona treni ikijaribiwa toka steshen posta mpk Pugu??
Au jamaa yupo sayari ya jupiter!!?
 
Back
Top Bottom