Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naanza kuwachapa sasa

Iyumbu Dodoma

View attachment 2877379


View attachment 2877380

Pangani Affordable Housing. 5 blocks, 15 storeys each

1705758657636.png


1705758701169.png
 
Somaliland imekua semi autonomous toka 1993.Na Somaliland ilipata uhuru kivyake na ilikataa kuungana na Somalia.
Ila Somalia inalazimisha muungano.
Ni Jimbo tuu la Somalia so hakuna Kipande Cha Ardhi kitakiuka mamlaka ya Somalia Kwa excuses ya kuwa semi autonomous.
 
Ni Jimbo tuu la Somalia so hakuna Kipande Cha Ardhi kitakiuka mamlaka ya Somalia Kwa excuses ya kuwa semi autonomous.
Sio jimbo la Somalia bro.
Somaliland ilipata uhuru kivyake.
Na toka huo mwaka wamepambana wajulikane nchi huru ila Somalia inawawekea figisu.
 
Sio jimbo la Somalia bro.
Somaliland ilipata uhuru kivyake.
Na toka huo mwaka wamepambana wajulikane nchi huru ila Somalia inawawekea figisu.
Ilipata uhuru kutoka Kwa nani? Kama unaunga mkono Somaliland wajitenge ,unga mkono na Zanzibar wajitenge
 
Back
Top Bottom