Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya oneni jinsi watanzania tulivyowaacha mbali, nilisema mm kuna maeneo hapa bongo yamekaa kiulayaulaya, hakuna jua kali infrastructure hapo hata chembe 👇👇
20240120_131155.jpg
 
Mama anachezewa sana na hawa watu na ndiyo maana wanataka aendelee ili wazidi kuichezea wanavyotaka, kwa jinsi hali inavyoendelea ni kwamba hata jnhpp likianza uzalishaji (limeshaanza) bado umeme utaendelea kukatika katika, haya maendeleo machache ya kweli ni kwasababu alipita mzalendo na ndiyo maana wakalazimika kuendelea kufanya kama alivyokuwa anafanya mzalendo japo speed yao ni ya Kobe.

Bro, believe me kama Magufuli asingepita nchi hii tungeendelea kuletewa neti kwa msaada wa watu wa Marekani mpaka leo.
Kiufupi wahuni wanamzidi nguvu. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom