Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro tusijipe matumaini kwenye hakuna pale hatuna team tuseme ukweli tu hata hio kuingia AFCON sote tunajua tumepita kwa kujunga junga bado tumekaririshwa samatta ni mchezaji wakutegemewa? 😅😅
Samatta ni gharasha la kutupa mbali sana,tunapaswa vijana wenye uchungu na Taifa hili kama wafanyavyo Wasanii wa Bongo Fleva
 
Tho tunahitaji na 737 800F kwa ajili ya routes to most of african cities ku compliment na 767 F
Mizigo mingi ni intercontinental but between African states sidhani kama tuna mizigo mingi ya kusafirisha kwa ndege.
Intercontinental cargo mostly inayosafirishwa na ndege ni kama medicines electronics, cars etc and most of these have to cone from outside Africa.
 
Bado boss sijajua plan za mwaka huu apart from Boeing 737 BBJ business jet, kwa ajili ya Rais, plus kumalizia malipo ya ndege hizi zinakuja mwaka huu amabzo ni Max 9 nyingine na 787 1 zote hizi zitakuja karibia na march 24, so tutaona budget ya mwezi wa 7
So Raisi wa Tz atakuwa anatembelea 737 business jet sio? Dah hii nchi maskini mbona tunaingia gharama hivyo?
 
(
How did it happen that you guys copied South Africa's national anthem....lol.
Wimbo wa Taifa wa Tanganyika,ni wimbo unaofanana melody pamoja na nchi za Zambia,Msumbiji,Namibia na South Africa.

Wimbo asili yake unaitwa Nkosi sikolol i Africa (God bless Africa in Zulu) na ulitungwa Kanisani na watu Watatu mmoja wapo anaitwa Mfinanga Daud Msuya (Mpare wa Tanganyika) ambao walikuwa ni wanajeshi wanaoongoza choir za jeshini.

Nchi za kusini mwa Africa zikaamua kutaka kuutumia ila wenye COPY RIGHT walibaki ni SA coz origin ni nchini kwao

Na kama hujui South Africa wametuiga kuanzia Bendera ya Taifa,system nzima ya ANC walicopy na kupaste kutoka kwa CCM,Utawala wa nchi,Jeshi lao Kuna wakati miaka ya 90 baada ya uhuru walikuwa wanachukulia mafunzo Tz na ata sasa wanataka wapitishe siku ya Uhuru wa Tanganyika Iwe ni national holiday kule kwao

Kwahiyo sisi na SADC tuna bond ambayo sio rahisi kuitenganisha
 
Wacha ujuaji wenyewe wanajua wanahitaji ndege gani! Usiseme kwa ajili ya Africa tu wakati ombi lao ni kwa ajili ya continental cargo routes!
Sio ujuaj kwa ninavyyona cargo business operation , kwani unahisi wako wako right always ??? hawezi kupata oipinion nyingie? mbona kuna vitu vingi tu tunaona wamefanya wanakosea . Mbona we uliwahi kutoa opinion yako kuwa wanahitaji dreamliner nyingine walau 4 ,kila mtu ana opinion tofauti, unahisi cargo operation zinaweza fanywa na 767 tu peke yake ? ingekuwa hivyo ingekuwa haipaki ingekuwa haikai hata zaidi ya siku 3 airport ikisubiria mizigo . it is easier to fill 737 800F wheter they see it right or wrong .
 
Acha kujipa ujiko usio wako, wewe ulitaka wajenge SGR sasa unafikiri hiyo reli mpya ingeweza vipi kuungana na TAZARA?
Swala sio Sgr ,ishu ya msingi ni reli ya kuifanya Tazara iwe profitable zaidi.

Pili pamoja na proposal ya kujenga reli kwenda Bandari ya Mpulungu Bado inatakiwa reli inayo cross kwenda DRC na kuungana na Tazara somewhere in Zambia na bila shaka itajengwa miaka ijayo ni Suala la mda tuu.

Mwisho Kwa upande wa Tanzania,hoja zangu ziko pale pale

-Tujenge reli kutoka Makambako Hadi Mtwara
-Mpanda-Kilosa(SGR)
 
So Raisi wa Tz atakuwa anatembelea 737 business jet sio? Dah hii nchi maskini mbona tunaingia gharama hivyo?
Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2023/24 Serikali imepanga kutumia jumla ya Shilingi bilioni 271.00 kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali kwa ajili ya:-i. Kukamilisha malipo ya kimkataba ya ununuzi wa ndege tatu (3) mpya – Ndege moja (1) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na Ndege mbili (2) aina ya Boeing 737-9;223ii. Kufanya malipo ya awali kwa ajili ya ununuzi waNdege mpya aina ya Boeing 737–7 moja (1) na DeHavilland Q400 moja (1);iii. Kugharamia matumizi ya awali ikiwa ni pamoja na uletaji wa Ndege tatu (3) mpya – Ndege moja (1) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na Ndege mbili (2) aina ya Boeing 737-9; gharama za bima; gharama za watalaam wa kukagua na gharama za vipuri muhimu vya ndege; iv. Kufanya ununuzi wa injini moja

Yes sijajua G550 itaenda wapi au zitakuwa zinatumika zote 2
 
Huna akili.
Wewe akili ulizonazo ziko wapi? Mbuzi wa kienyeji mkubwa.

Naunga mkono wazo la kuanza kufikiria kuondoa Makao Makuu ya AU hapo Addis na kuhamishia Arusha Kwa sababu Nchi inayoleta uchokozi wa kimipaka Kwa majirani zake inakiuka misingi ya uhuru ya AU.
Screenshot_20240119-064446.jpg
 
Wewe jamaa ni kima tu
Kima ni mom Yako.

Nasisitiza kama Somaliland Wana Haki ya kujitenga hata Zanzibar wanayo hiyo Haki pia.

Mwisho naunga mkono wazo la kuondoa Makao Makuu ya AU Addis na kuyaleta Arusha Kwa sababu Ethiopia inavunja misingi ya AU.
Screenshot_20240119-064446.jpg
 
Back
Top Bottom