7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Mwanzo kabisa siyo mwanadamu bali ni Mungu aliweka maono na maarifa kwa mwanadamu.Hata yule wa kenya alianzisha dini yake.. akasema mkishinda njaa na mkikufa mtaenda mbinguni.. hio ni dini tayari.. ndo mana kuna uislam, ukiristo, ubudha, etc..
mf, hata yule wa kenya angesema alichofanya tukiite sijui 'shakobambi' sijui nn... ingeitwa dini kwa hilo jina.. so matokeo yake watu wangesema sisi dini yetu (tuipe jina chakobambi) inasema ukishinda njaa na kufa utaenda mbinguni
Sasa ikaingia uchakachuaji na ukengeufu watu wakaanza kupotosha msingi na kusudio la Mungu.
Mahali palipo na Fake jua ipo Original yake. Haya yote unayoyaona yalishatabiriwa, manabii wa uongo watajitokeza kwa jina lake na kudanganya wengi.
Wanajitokeza manabii wa uongo ili kutimiza unabii wa maandiko. Soma Mathayo 24 yote mkuu.
