Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

..MADE IN CHINA

"Sio Boeing, wala si Airbus"
Saa chache zilizopita, Ndege ya Comac C919 inayotengenezwa nchini China imekamilisha safari yake ya kwanza ya kibiashara ikiwa rangi za mteja wa kwanza China Eastern Airlines.

Airlive.net
FB_IMG_1685365389620.jpg
 
Hata wiki haijapita ,Wakunya wameanza kulia lia baada ya kiminyo Cha Wizara ya Kilimo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2639191

Nendeni Zambia mlikosema mtanunua au kuagiza GMO mbwa nyie

Wanunue zambia kisha wapitishe kwenye barabara za nani ? Labda wazunguke nayo huko kongo.
 
Kenya tumeweka kila kitu Nairobi vipi na kuna ugatuzi?
County goverment na Huduma centres ambazo ziko kila County zinahakikisha mkenya anaweza zaliwa na kufa bila kuwahi kanyanga Nairobi kwa sababu ya huduma za kiserikali including kupata passport, birth certificate, pension, jobs, etc

Danganyika hamna ugatuzi, viongozi wa mkoa wanachaguliwa na serikali ya kidikteta ya CCM 🤣🤣
kwa hili wakenya mpo vizuri sana sio kama sisi wadanganyika kila kitu kipo Dar na dodoma hata ukitaka kuona flyover ni lazima uende dar, na kama ukitaka huduma za kiserikali zote itakubidi usafiri mpaka Dodoma.
 
Kuna docs nilikuwa nacheck jina la mtu fulan kuona kama anasoma masters muhimbili, nimeshangaa kuona wakunya wamejazana, wakat humu wanasema hawaji kusoma Tanzania. List ni ndefu ila nawapa hii tu kama kidokezo
View attachment 2638928
Nenda pale DMI chuo cha ubaharia wamejaa wakenya kibao,kunyan kujikwaza tu lakini hawana lolote
 
Hata wiki haijapita ,Wakunya wameanza kulia lia baada ya kiminyo Cha Wizara ya Kilimo 😁😁😁😁
View attachment 2639191

Nendeni Zambia mlikosema mtanunua au kuagiza GMO mbwa nyie
Serikali kwenye hili imecheza kama pele,tena iangalie na mazao mengine kama parachichi na apples wafanye kama hivi
 
Wanunue zambia kisha wapitishe kwenye barabara za nani ? Labda wazunguke nayo huko kongo.
zambia imezuia mahindi yetu toka feb wafanyabiashara wetu wanaiomba serikali kila siku ikawaombee mahindi waweze kuyavusha tunduma ila serikali ya zambia imebana watanzania wayauze mahindi ndani ya zambia ila kutoka hayatoki,nahisi ndio maana na sisi tumeshtuka na kuzuia hawa kunyaz kuingia mashambani
 
Back
Top Bottom