Ushoga haukubaliki hata mkijificha kwenye kichaka cha haki za binadamu, kwanza ukiacha katazo la kidini kuhusu ushoga lkn hata kisayansi ushoga una athari nyingi, mtu ukiwa shoga baadaye una haribikiwa, sasa kama una athari kwnn tuu tolerate?
Mzazi gani angependa awe na mtoto shoga? Unakuwa shoga ili iweje? Mana lengo kuu la sex ukiacha starehe ni kuzaana, je unakuwa shoga ili uzae au? Na kwnn shoga hazai? Ile sehemu ipo kule nyuma sio kwasababu za kuingiliwa bali kujisaidia tu na si vinginevyo, hata mwanamke anayefanywa kule nyuma mwishowe hupata hitilafu kubwa za kimwili, kwnn mnalazimisha kuwe na usawa kwenye jambo ovu namna hiyo?
Kwnn tusiungane kupinga kwa dhati kabisa tabia hizi za kishenzi? unasema mtu akiwa shoga hamuathiti mtu mwingine na kwamba aachwe, je mtu akiwa teja anamuathiri nani? Mbona mateja mnawasumbua wakati hawawaathiri chochote? Kwnn machoko mnataka tuwaache?