Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Mkuu, ikikupendeza tuwekee ushahidi wa uwepo wa Mungu na Shetani, ukishapata ushahidi wao, tafadhali tunaomba ushahidi kwamba lengo la binadamu duniani ni kuzaa, nani aliyeweka hilo lengo na aliliweka lini?,,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
So hio propaganda ndio kigezo cha ushoga au??? Mbona hatuoni mbuzi dume akizaa au kondoo dume akizaa ?? Sijawah kuona wala kuskia

Nilikwambia tena na ninarudia kwenye haki za binaadamu nyuma yake kuna propaganda kubwa ya kikatili iliojificha

Na kama ww hujui lengo ni kuzaa niambie ww ulikuja kufanya nn duniani?? 😆😆 na usinambie ulizaliwa bahat mbaya na kama sio lengo kwann watu wazae na nani aliwafundisha kua wakikutana watapata mtoto au bahati mbaya kama sayansi inavotudanganya kua binaadamu alitokana na nyani ?? 😁😁😁wengine wanakwambia dunia ilikuja by nature tu
 
Na nimeskia juzi saud arabia ananunua diesel russia alaf anawauzia tena europe 😆

Kama europe mwanzo walikua wananua diesel kutoka russia 60$ per barrel sasa hvi wananunua 120$ per barrel

Hii vita ya one world order walishajua ni ngumu sana wao kushindwa ila sasa wanakamilisha ratiba na usifkiri russia anapigana na ukraine no way anapigana na nato yote 😆😆😆😆
Njaaa tuu hamna kitu hao Wavaa vokobasi 🤣🤣
 
In descending order
India------------------(75)
Yemen----------------(43)
Pakistan---------------(22)
Kenya------------------(12)
DRC--------------------(11)
Lebanon----------------(10)
Rwanda-----------------(4)
Somalia-----------------(4)
Afrika kusini--------------(3)
Lithuania-----------------(2)
China--------------------(2)
Ugiriki--------------------(2)
Uingereza-----------------(2)
Uswizi---------------------(2)
Zambia-------------------(2)
Zimbabwe-----------------(2)
Cameroon-----------------(1)
Cuba----------------------(1)
Japan---------------------(1)
Oman---------------------(1)
Palestina-------------------(1)
Sierra Leone----------------(1)
Hizi zote ni dual citizenship especially marriages.
 
Mm sijaingizia suala la Mungu mana kwa mantiki ya waleta hoja hawaamini uwepo wa Mungu, na jambo hili linazidi kuota mizizi humu JF na ndiyo chanzo kikubwa cha ushetani siku hizi.
Sasa kama hawaamini uwepo wa Mungu bro kwann hawarudishi uhai wa mtu kwann hawarudishi uzee kua kijana mbona simple tu mbona hawazuii kifo kwann wanatengeza roboti lakini sio binaadamu ??

Wanakwepa dini kwa kigezo cha kutangaza laana za ushoga bro ndio maana nasema haki za binaadamu ziko afrika tu
 
EPC +F ujenzi umeanza 👇

Mafinga/Nyororo-Mtwango/Njombe
FB_IMG_16854526011335568.jpg
 
So hio propaganda ndio kigezo cha ushoga au??? Mbona hatuoni mbuzi dume akizaa au kondoo dume akizaa ?? Sijawah kuona wala kuskia

Nilikwambia tena na ninarudia kwenye haki za binaadamu nyuma yake kuna propaganda kubwa ya kikatili iliojificha

Na kama ww hujui lengo ni kuzaa niambie ww ulikuja kufanya nn duniani?? [emoji38][emoji38] na usinambie ulizaliwa bahat mbaya na kama sio lengo kwann watu wazae na nani aliwafundisha kua wakikutana watapata mtoto au bahati mbaya kama sayansi inavotudanganya kua binaadamu alitokaba na nyani ?? [emoji16][emoji16][emoji16]wengine wanakwambia dunia ilikuja by nature tu
Mkuu, japo Mimi nimekuwekea ushahidi hata Kama umeukataa, tafadhali tunaomba ushahidi wa uwepo wa Mungu na Shetani ambavyo ndivyo msingi wa hoja zako, mkuu punguza maneno mengi lete ushahidi, au vipi nyoosha mikono juu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tunawapa Wapakistan, Wayemeni na Walebanon uraia? Hivi intelligence yetu ipo wapi? imelala?
Intelligence ni kitu nyeti kaka hatuwezi kujua yandani zaidi,

Je tuna uhakika kuwa hii ni taarifa sahihi?
Kama ndiyo au hapana Je tunajua kipi kilichofanyika mbali ya utaratibu wa kawaida tunaoujua mpaka wamepewa uraia?

Mambo ni mengi mkuu
Ila kiushauri intelligence inabidi wachukue umakini wa hali ya juu kwa kila jambo la nchi
 
Mkuu, japo Mimi nimekuwekea ushahidi hata Kama umeukataa, tafadhali tunaomba ushahidi wa uwepo wa Mungu na Shetani ambavyo ndivyo msingi wa hoja zako, mkuu punguza maneno mengi lete ushahidi, au vipi nyoosha mikono juu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Uwepo wa Mungu uko kwenye vitabu vya dini na bahat nzuri uwepo wa Mungu kuna ishara nyingi kwa wenye akili

Hii dunia tu kuzunguka kupatikana mchana na usiku ni tosha kujua kua kuna mwenyewe hakuna kitu cha bahat mbaya

Binaadamu anehangaika miaka na miaka kujua roho ni nn?? Mpaka leo hakuna anaejua hata mfano wa roho na kuna baadhi ya wanasayansi wanakubaliana na vitabu vya dini

Ngoja mm nikufunue kidogo bro unajua ni kwann israel wanapigania sana msikiti ule wa aqsa ulieko palestine unajua sababu kuu kwasababu unaeza jiuliza wayahudi sio waislam mbona wanapigani kuupata ule msikiti heheh nitafute kwa muda wako nikupe elimu muruaa kabisa 😁

Ndio maana hua nakwambia haki za binaadamu ziko afrika tu kwengine kote hakuna haki hzo 😁😁
 
Russia ni failed state?? Ww kweli hamnazo nchi inawajambisha wazungu kila kukicha unasema failed state?? Tafuta mganga akuague bado mapema[emoji38][emoji38][emoji38]
Alivyosema hivyo niliishia kusoma maneno yake kisha nikacheka sana nikapita zangu
 
Mkuu, sidhani Kama ni busara kushabikia nchi kwa sababu ya fedha, huko ni kujishusha na kujidhalilisha Sana, Tanzania tunaheshimika Sana duniani kwa kuwa nchi yenye kusimamia utu na uhuru wa raia pote duniani bila kujali fedha, rejea hotuba ya Nyerere kuhusu "Wanasiasa wenye tabia za umalaya".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Jamaa kaonyesha ujinga wa hali ya juu
 
Uwepo wa Mungu uko kwenye vitabu vya dini na bahat nzuri uwepo wa Mungu kuna ishara nyingi kwa wenye akili

Hii dunia tu kuzunguka kupatikana mchana na usiku ni tosha kujua kua kuna mwenyewe hakuna kitu cha bahat mbaya

Binaadamu anehangaika miaka na miaka kujua roho ni nn?? Mpaka leo hakuna anaejua hata mfano wa roho na kuna baadhi ya wanasayansi wanakubaliana na vitabu vya dini

Ngoja mm nikufunue kidogo bro unajua ni kwann israel wanapigania sana msikiti ule wa aqsa ulieko palestine unajua sababu kuu kwasababu unaeza jiuliza wayahudi sio waislam mbona wanapigani kuupata ule msikiti heheh nitafute kwa muda wako nikupe elimu muruaa kabisa [emoji16]

Ndio maana hua nakwambia haki za binaadamu ziko afrika tu kwengine kote hakuna haki hzo [emoji16][emoji16]
Mkuu, Kama kuzunguka kwa dunia kupata usiku na mchana ndio ushahidi wa kuwepo kwa Mungu, Ina maana kwenye mwezi Mungu hayupo kwasababu hakuna kuzunguka Wala usiku na mchana hakuna.

Mkuu, ni Bora tukubaliani kwamba Kila mtu aishi na kuamini kile anachopenda, tusilazimishane Imani, kulazimishana Imani ndio chanzo Cha vita na migogoro duniani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, Kama kuzunguka kwa dunia kupata usiku na mchana ndio ushahidi wa kuwepo kwa Mungu, Ina maana kwenye mwezi Mungu hayupo kwasababu hakuna kuzunguka Wala usiku na mchana hakuna.

Mkuu, ni Bora tukubaliani kwamba Kila mtu aishi na kuamini kile anachopenda, tusilazimishane Imani, kulazimishana Imani ndio chanzo Cha vita na migogoro duniani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Namaanisha uwepo wa dunia kuzunguka kupatikana mchana na usiku na kila kitu ni ishara kua mwenye dunia yake yupo swali ni rahisi nani anaekipulizia roho kiumbe ?? Roho ambayo wanasayansi wameshindwa hata kujua ni kitu gani hahaha 😁😁 mm silazmishi mtu aamini nitakavyo lahasha ila tunajaribu kuekana sawa
 
Jipe exercise ya kujua vifungu vya nchi yako vinavyopinga ushoga

Ha haaaa Unashangaa leo uganda kufanya hivyo,
Wakati nchi ilishayamaliza hayo mda sana
Upo rush sana,
Najua na tayari Kuna watu wamehukumiwa ila adhabu sio za kuuwawa kama hao Jamaa wa Uganda.
 
Namaanisha uwepo wa dunia kuzunguka kupatikana mchana na usiku na kila kitu ni ishara kua mwenye dunia yake yupo swali ni rahisi nani anaekipulizia roho kiumbe ?? Roho ambayo wanasayansi wameshindwa hata kujua ni kitu gani hahaha [emoji16][emoji16] mm silazmishi mtu aamini nitakavyo lahasha ila tunajaribu kuekana sawa
Mkuu, Kila kitu kina maelezo yake ya kisayansi, unaweza ukaamua kukataa maelezo ya sayansi na kubaki na Imani yako, hiyo ni hiari yako. Muhimu ni Kila mtu awe huru kuamini kile ambacho akili yake inakiamini na kukielewa, kwasababu hata nikikuomba ueleze "roho" ni nini na nikiomba uweke ushahidi wa kuwepo kwa hiyo "roho" utarudi Kule Kule kwenye nadharia na Imani za dini.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom