The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,968
Matajiri wa Bongo Ni noma Sana kwa Sasa 👇
Unitag plz akileta 🤣🤣🤣🤣🤣Leta plant ya AVA ikifanya assembling ya Bus from scratch.. Kwa picha tu maana huna bundle ya ku upload video.
Au leta web link ikionesha AVA wanaunda body za Mabasi.
Juu wewe ni ng'ombe, acha nirudie for your sake🤣🤣😂Wewe ndio kilaza wa kikunyaa Kwa huu uzi. Kichwa chako kimejaa upepo tuu..
Weka hapa na wengine waone...
Ila humu mkuu kuna wababe wa miji aisee hadi chocho za Washington wanazijua. Acha niendelee kuchunga ngedere shambani kwangu wasinimalizie mahindi yangu mie [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
😂😂 acha uongo bana umekosea tu kuhusu lane upande wa kushoto.. lane ya kushoto ni lane moja lkn gari linaruhusiwa kuovertake kulia kama mbele kupo salama.. hio line hapo katikat upande wa kushoto inaitwa hazard warning line (google utaelewa).. kwamba unaweza kuovertake lkn be careful. Na hakuna kilichokosewa kwenye michoroHapana kwa magari upande wa kushoto hayatakiwi yavuke solid line! Ya upande wa kulia yanayokuja sawa na yamepewa lanes mbili kwasababu ya mlima na kuepusha ajali gari likishindwa kupanda! Watu wengi sharia hawajui! BTW hata ilivyochorwa imechorwa kimapungufu!
Hey ng'ombe, are you still there?🤣😂😂Wewe ndio kilaza wa kikunyaa Kwa huu uzi. Kichwa chako kimejaa upepo tuu..
Weka hapa na wengine waone...
Post picha wewee au leta website ya AVA hapa.Juu wewe ni ng'ombe, acha nirudie for your sake[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Hiyo umepost hapo ndio assembling plant?
Hawataki kabisa kuona haya
Hebu tuoneshe basi zenu za kenya tupate kucheka kidogo. Nime miss vichekesho
Fikeni levels angalau nusu ya Kilimanjaro ndio mtambe, nilishawaonya ninyi ni jangwa hampaswi kujilinganisha na Tanzania kwenye greenery iwe mjini au kijijiniLimuru Road. Man, look at that greenery that Tanzanians hate so much! View attachment 2462586View attachment 2462587View attachment 2462588View attachment 2462591View attachment 2462593View attachment 2462594View attachment 2462595View attachment 2462596View attachment 2462597View attachment 2462598View attachment 2462599View attachment 2462600View attachment 2462601View attachment 2462602
Hata mimi najua maana nimesomea driving kabisa sio dereva wa mchongo...uko sahihi[emoji23][emoji23] acha uongo bana umekosea tu kuhusu lane upande wa kushoto.. lane ya kushoto ni lane moja lkn gari linaruhusiwa kuovertake kulia kama mbele kupo salama.. hio line hapo katikat upande wa kushoto inaitwa hazard warning line (google utaelewa).. kwamba unaweza kuovertake lkn be careful. Na hakuna kilichokosewa kwenye michoro
Mfano mzuri, barabara ya morroco kuna sehem ipo hiv
View attachment 2462689
View attachment 2462697