Naongelea hiyo line solid katikati inayoonekana imefutikafutika ikiwa na dashed line! Mara nyingi inatakiwa iwe line moja either dashed or solid or both solid and dashed!
Na Ikiwa both dashed na solid anayeruhusiwa ku-overtake ni yule wa upande wa dashed!
Mind u for this case the median line ni hiyo solid (though inachanganya mbele ipo dashed) na imeambatana na dashed.
Na suala la overtaking, incoming vehicles wenye lanes mbili ndio wanaruhusiwa na wamepewa lanes mbili kimakusudi na ukiangalia vizuri ni upande wa mwinuko!
Kwa Sheria za kimataifa overtaking inaruhusiwa only on spaced/dashed lines! Na kwa case ya barabara hii incoming slow vehicles n trucks zinapaswa kupita on the outer right lane!
And overtaking is strictly for incoming vehicles in this section! That's how road rules say all over the World!
FYI nimeendesha sehemu nyingi duniani huo mchanganyiko wa solid and dashed kwenye hii picha palipo na basi liki-overtake unachanganya na umekaa kimagumashi maana technically zote ni dashed na najua ninachoongea na my DL allows me to drive every corner of this world!
TANROADS wamejenga super roads across the country na hata wameweka extra lanes kwenye miinuko ila watu wengi hawajui matumizi yake na sheria kiujumla.
BTW huwezi kutolea mfano wa barabara ya Morocco inner city road kwa case hii ya cross-country highway! Please pitia sheria vizuri!
View attachment 2462841
View attachment 2462848
View attachment 2462850