Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bingwa Kenya anapata milioni 18 alafu wanashangaa kwnn timu haziwezi kumudu hata jezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221229-200557.jpg
Screenshot_20221229-200630.jpg
 
Asante kwa kupanic asante kwa hasira kali sana 🤣🤣🤣 asante kwa kujua sio tanzania ya 90s
Karibu kichaa wetu. Jaribu update akili hata kidogo. Shule ni kitu muhimu mwarabu bonoko 🤣🤣😂😂
 
Huwezi kusema kuwa Dodoma station treni zinaingia “ndani” kwasababu zitakuwa zinaingia kwenye some kind of tunnel on the side of the station, lakini si ndani ya jengo.

Tazama hii station ya St. Pancras international iliyopo London. Hapa treni zinaingia ndani ya terminal literally.
ichoboy01
View attachment 2461933
Kwa hiyo hiyo roof si canopy? Mbona ni roof ya steel detached from main building pia?
 
Tanzanian leagues is very funny. Wanasema ligi Yao ni Bora lakini hakuna kikombe washaichukua nje ya East Africa 😂😂
 
Back
Top Bottom