Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👇
 
Kila siku uwa nawambia wakenya siku zote uwezi kumkoromea anae kulisha. for now kenya inategemea tz kwa asilimia 10000000000000000000000000000000000000000%
Ukifika border zetu na kundustan utakuta trucks za TZ zaidi ya 100 zinaingia kundustan,halafu ule upande wa kundustan utakuta van zinazoingia TZ azizidi 4 zimebeba cofta,panadol n.k
 
I don't like to argue with fools. I don't like to deal with people who walk around with shit

This is the meaning of Shit
ea33f7ad-fa62-4b6e-86e0-edfc141d0565.jpg
 
Usafi ni jadi yetu, pia waambie kabisa hakuna filter hapo, na hali iko hivyo hivyo mpk ndani ndani huko kwenye residential areas. Elimu pia imetusaidia sana Watz, unajua unaweza ukawa na elimu alafu isikusaidie kama Wakenya na raia wa vinchi vingine vya EA raia wengi hawana elimu na wachache wenye elimu haiwasaidii. Unakuta miji michafu matakataka kila kona mfano Kampala na ka Nairobi mauchafu everywhere yn civilization ni zero kabisa katika nchi nyingi za Afrika hususan hizi nchi ambazo raia wake wengi ni mafukara kama Kenya, Burundi na Somalia.
 
Usafi ni jadi yetu, pia waambie kabisa hakuna filter hapo, na hali iko hivyo hivyo mpk ndani ndani huko kwenye residential areas. Elimu pia imetusaidia sana Watz, unajua unaweza ukawa na elimu alafu isikusaidie kama Wakenya na raia wa vinchi vingine vya EA raia wengi hawana elimu na wachache wenye elimu haiwasaidii. Unakuta miji michafu matakataka kila kona mfano Kampala na ka Nairobi mauchafu everywhere yn civilization ni zero kabisa katika nchi nyingi za Afrika hususan hizi nchi ambazo raia wake wengi ni mafukara kama Kenya, Burundi na Somalia.

Kuna Video za hivi karibuni za Siku ya Christmas au Wiki hii za Nairobi kaangalieni [emoji23]Observe magari yao Barabarani , Watu pamoja na mionekano yao. Na mpate conclusion ya Maswali mengi [emoji23].
 
Kuna Video za hivi karibuni za Siku ya Christmas au Wiki hii za Nairobi kaangalieni [emoji23]Observe magari yao Barabarani , Watu pamoja na mionekano yao. Na mpate conclusion ya Maswali mengi [emoji23].
Wakenya wamechoka sana na haya maisha, wanataabika mno, wapo over 50mil lkn wenye angalau hawafiki hata 5% na kwenye hao 5% unakuta 3% ni wanasiasa na familia zao ila majority hali zao ndio kama za hawa tulio nao humu.

Ndio maana huwa nasema Wakenya huenda wasiende motoni wakifa mana moto tayari wanaupata hapa hapa duniani. Imagine kanchi kadogo, jangwa ni 99% ya nchi, chakula cha shida, magonjwa mpk kipindupindu bado kinawaua, uchafu kila kona na ma slums yametapakaa nchi nzima, unadhani huo sio moto huo?
 
Kuna Video za hivi karibuni za Siku ya Christmas au Wiki hii za Nairobi kaangalieni [emoji23]Observe magari yao Barabarani , Watu pamoja na mionekano yao. Na mpate conclusion ya Maswali mengi [emoji23].
Hii ni ramli chonganishi tutaibua yasiyoibulika! 😂 😂 😂 😂 😃 😃

Huko Ruto katekeleza zero (0) ahadi katika siku mia (100) alizoomba!

Hata cargo Mombasa utaratibu wa SGR umerudi!
 
Usafi ni jadi yetu, pia waambie kabisa hakuna filter hapo, na hali iko hivyo hivyo mpk ndani ndani huko kwenye residential areas. Elimu pia imetusaidia sana Watz, unajua unaweza ukawa na elimu alafu isikusaidie kama Wakenya na raia wa vinchi vingine vya EA raia wengi hawana elimu na wachache wenye elimu haiwasaidii. Unakuta miji michafu matakataka kila kona mfano Kampala na ka Nairobi mauchafu everywhere yn civilization ni zero kabisa katika nchi nyingi za Afrika hususan hizi nchi ambazo raia wake wengi ni mafukara kama Kenya, Burundi na Somalia.
As Mwaka unaisha na bado tuko kwenye huu uzi wetu pendwa, mimi naomba kwa heshima kabisa nimuombe Mwenyekiti wetu ichoboy01 atoe tuzo kwa wadau kadhaa humu kwa mchango wao katika uzi huu. Ila tuzo ya spana kali kali (kamati ya roho mbaya) naomba iende kwako…….unawachapa sana aisee😂😂

NB: Wakenya pia asiwasahau, wao nao ni watu japo wachafu😂😂
 
As Mwaka unaisha na bado tuko kwenye huu uzi wetu pendwa, mimi naomba kwa heshima kabisa nimuombe Mwenyekiti wetu ichoboy01 atoe tuzo kwa wadau kadhaa humu kwa mchango wao katika uzi huu. Ila tuzo ya spana kali kali (kamati ya roho mbaya) naomba iende kwako…….unawachapa sana aisee[emoji23][emoji23]

NB: Wakenya pia asiwasahau, wao nao ni watu japo wachafu[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom