Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,720
- 107,165
kuna vichwa vya treni ya sgr vinatoka germany ebu angalieni apo wakunya
😂😂😂😂Kwa hili Fuso kule KUNDUSTAN linaongezewa Vifaa vya ujenzi Tani nane na rangi lita 3000 [emoji23]. Linaongezewa mazalia ya kunguni na Speaker za Bar, Taa za Uwanja wa Mpira na linakua Bus la abiria huku likieneza kunguni kutoka familia moja mpka nyingine . J/K [emoji23]
View attachment 2462222
View attachment 2462223
Poverty stricken army. Navy with no helicopters 😂😂🤣
Halafu wanakuambia wanatengeneza bodies za mabasi Tanzania!Kwa hili Fuso kule KUNDUSTAN linaongezewa Vifaa vya ujenzi Tani nane na rangi lita 3000 [emoji23]. Linaongezewa mazalia ya kunguni na Speaker za Bar, Taa za Uwanja wa Mpira na linakua Bus la abiria huku likieneza kunguni kutoka familia moja mpka nyingine . J/K [emoji23]
View attachment 2462222
View attachment 2462223
Tag me the day Any Time Cancellation Limited (ATCL) will appear in this list🤣😂🤣
Kwani ni uongo?Halafu wanakuambia wanatengeneza bodies za mabasi Tanzania!
hata robo ya mabasi hamjafika!
Hebu tuoneshe basi zenu za kenya tupate kucheka kidogo. Nime miss vichekesho
Unaumwa sio siri wahitaji dawaPoverty stricken army. Navy with no helicopters 😂😂🤣
Pole Kwa maumivu😂🤣hata robo ya mabasi hamjafika!
haaaaa unaumwa ww tuonyeshe bus zenu bas za kule ushagoooPole Kwa maumivu😂🤣
Basi za Tanzania zinaundwa Kenya.
Ebu nionyeshe something like this from your Navy🤣😂😂Unaumwa sio siri wahitaji dawa
Utoto uo jeshi letu huo sio wenda wazimu wa maonyeshe go and search for yr self
Halafu wanakuambia wanatengeneza bodies za mabasi Tanzania!
Jeshi lenu linafanya nini na bendera ya Kenya?🤣🤣😂😂 Ama mnataka kukwamilia Kenya Navy tuwaachie?😂😂Utoto uo jeshi letu huo sio wenda wazimu wa maonyeshe go and search for yr self