Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nawashangaa sana watu wanaodhan Samia atakuwa Rais baada ya uchaguzi 2025.. niwahakikishieni niko hapahapa .. mda ukifika nitawakumbusha
Kazi yangu itakuwa kusearch 2025 na kuwaletea comments za nyuma
Ukisahau mimi nitakukumbusha maana umetuhakikishia na kutuaminisha sana,Kuna unalololijua linaloendelea mkuu ?
 
Hii ni PPP project, na huyo mtu ni wachina.
Kwa Tanzania ni sehem ndogo sana, mana mchina atajenga kuanzia Uvinza (mchepuko waa Tabora-Kigoma SGR) hadi Musongati (Burundi) hadi Gitega (Burundi).
Mim naona ni faida kwetu, mana kuna namna mchina atafanya hio kipande chake kiwe na faida hivyo kuleta faida kwa line yetu to Dar port
Lakini wawe makini kwenye mkataba siyo siku moja aamue kufunga reli kuzuia mizigo isipite kwasababu zisizo na mashiko. Hawa watu ni janja janja sana. Hata kama s mchina yeyote yule atakayepewa hii project.
 
Buy Kenya Build Kenya.

Thank you Bus for buying new Gemilang generation from AVA.
1671745723908.jpg
1671745716130.jpg
1671745720208.jpg
 
Look! You can go all day, talking all sorts of things just to make yourself feel better but the facts will always be......
*We beat COVID
*We had less deaths than you
*Our economy was not devastated by COVID-19
*We had the winning policy and you did not!
*And you were taken for fools all along ( you have always been fools anyways )
*JPM will forever live in our hearts.
* You didn't beat Covid. If you did, your messiah couldn't have died of the same

* You know you had 'less deaths' yet your government vould go a whole month without giving updates. How then do you know you had less deaths when your government didn't put everything plain and white?

* Now that your economy was not devasted, why haven't you passed countries whose economies got devastated?

* You did not employ any policy bongolala. Telling people not to wear masks or practice social distancing was not a winning policy in keeping corona at bay

* Fools are those who were made by their leader to believe that their country was the only one in the continent without a single covid case.

* Whether JPM stays in your kidneys or your hearts is the least of our problems. He must be laughing wherever he is how he managed to make a whole nation look stupid in the face of the world!
 
Nyerere Dam litakua na ukubwa sawa na nairobi mbili View attachment 2453656View attachment 2453657
Nimesikia kuwa itaizidi Lake Rukwa. Man made itakuwa kubwa kuliko ya asili. Bado wanasema eti tz uchumi wetu ni hafifu?

Tutaenda kwa vitendo si meneno matupu ya kienglish kama wakaskazini huku vitendo ni sifuri.

Ingekuwa ni Kenya ungesikia kwenye viblogu vyao uchwara. The most expansive Kenyatta dam in the world, no where to be seen except in Kenya...Halafu wanamalizia Karibu Kenya Hakuna Matata
 
In the year of our lord 2022 hawa watu bado wanafanya hivi? Nakumbuka walitamba sana na Mt Kilimanjaro. Lol
Ile kutamba na vitu vyetu alivikomesha Magufuli na chuki ikaanzia hapo. Loliondo na Ngorongoro walianza pia kupoteza tumaini kwa mama.
 
Oya wanangu wa bongo sisi tupo vizuri sana kwa hapa EA,mara ya kwanza kabla sijatoka nilikuwa naiona bongo kama vile siielewi Fulani hivi!!!!!! Lakini last month nilifanikiwa kurudi Kenya nimeona mambo ni yale yale hakuna maendeleo yoyote watu wana shida mpaka zinawanukia yaani ule umaskini wenyewe……kula tu ni mtihani,kuoga ndo usiseme halafu ukichanganya na walivyo weusi kama south sudan unaweza ukacheka

Huu mwezi nilikuwa Uganda tena kampala yenyewe kabsa!!! Oya kiukweli ule mji ni wa kichoko sana,hakuna plan yoyote ya kwamba huu ni mji mkubwa…kampala ni kama moro wanangu…..ila hivi sasa wanajenga flyover ndefu sana kama ya KM 3 nahisi itaweza kubadili mazingira ya ule mji kidogo

Unapotembea,tembea kifua mbele…sisi ni matajiri sana

MUNGU ibariki Tanzania
Niliwahi kwenda Kampala mara moja siku nafika naambiwa tayari sikujua kama ndio jijini nimeingia , mandhari yake haina mvuto hata kidogo. Unachoongea ni kweli sikuona amsha amsha za mji mkuu wa nchi tena kuushindanisha na miji za kibongo ni upuuzi mkubwa.
 
Kabisa, me nilidhani baada ya ile dual carriage municipal wangejiongeza kusogeza pavings na hata kuweka garden and trees, lakini imebaki vilevile na zile palms zimekufa, yaani hili nalo mpaka tukope? Ilala municipa council mnazingua………pendezesheni mji, najua mnapita humu.
Tatizo la viongozi wetu hawana uthubutu wana deal na sheria hata kama ni kandamizi, sasa hapo napo wanasubiria mpaka ipeleke bungeni au kiongozi mkuu aseme ndipo watekeleze?
 
Hapo tutampa manji ajenge hizo pavements beach iwe yake for 20yrs then ataturudishia.
Kipindi hicho zitakuwa zimebomoka hivyo tutatafuta mwekezaji mwingine wa kurepair naye tunampa Beach for a certain period of time.
 
Back
Top Bottom