Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta link pia.
Achana na Link juu hata hiyo link enyewe hutasoma😂😂🤣

Screenshot_20220518-141834.png
 
I am a Christian. A devoted Christian for that matter. But Christian teachings tell me that God helps those who help themselves. You can't pray over a serious health issue and still subject yourself to the same danger you are praying over and expect God to help you. You must take precautions even as you pray over that issue. Don't take us for fools.

About herd immunity (it's herd immunity btw, not heard immunity as you put it), ulisoma wapi kwamba kujifukiza as Tanzanians did during Covid, forms part of herd immunity? Do some research on herd immunity and how it helps a community, not an individual person, become immune to a disease then come back for engagement
Watu wanamchezo sana,Herd immunity kasema ni nn?
 
I am a Christian. A devoted Christian for that matter. But Christian teachings tell me that God helps those who help themselves. You can't pray over a serious health issue and still subject yourself to the same danger you are praying over and expect God to help you. You must take precautions even as you pray over that issue. Don't take us for fools.

About herd immunity (it's herd immunity btw, not heard immunity as you put it), ulisoma wapi kwamba kujifukiza as Tanzanians did during Covid, forms part of herd immunity? Do some research on herd immunity and how it helps a community, not an individual person, become immune to a disease then come back for engagement
Look! You can go all day, talking all sorts of things just to make yourself feel better but the facts will always be......
*We beat COVID
*We had less deaths than you
*Our economy was not devastated by COVID-19
*We had the winning policy and you did not!
*And you were taken for fools all along ( you have always been fools anyways )
*JPM will forever live in our hearts.
 
Kenya wanapigiwa makofi…..
Wachezaji wanalipwa kwa mechi yani wanapewa posho ya chakula, ndiyo maana wachezaji wote wa East and Central Africa wanawaza kucheza Tz, kuna mchezaji mmoja wa Tp mazembe nilikutana naye JNIA akaniambia nimepush sn kwenda Yanga au Simba imeshindikana ila trust me lazima nicheze moja ya hizi timu, akanipa na namba yake ya wasap kwamba kama siamini atanikumbusha cku moja, zen akapanda pipa akarudi Congo.
 
Wachezaji wanalipwa kwa mechi yani wanapewa posho ya chakula, ndiyo maana wachezaji wote wa East and Central Africa wanawaza kucheza Tz, kuna mchezaji mmoja wa Tp mazembe nilikutana naye JNIA akaniambia nimepush sn kwenda Yanga au Simba imeshindikana ila trust me lazima nicheze moja ya hizi timu, akanipa na namba yake ya wasap kwamba kama siamini atanikumbusha cku moja, zen akapanda pipa akarudi Congo.
Watchman acha uongo bana😂
 
Mabati rolling mills is rolling with 1.5M passengers a year😂😂

number_of_passengers_2015_2021.png
 
Back
Top Bottom