Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oya wanangu wa bongo sisi tupo vizuri sana kwa hapa EA,mara ya kwanza kabla sijatoka nilikuwa naiona bongo kama vile siielewi Fulani hivi!!!!!! Lakini last month nilifanikiwa kurudi Kenya nimeona mambo ni yale yale hakuna maendeleo yoyote watu wana shida mpaka zinawanukia yaani ule umaskini wenyewe……kula tu ni mtihani,kuoga ndo usiseme halafu ukichanganya na walivyo weusi kama south sudan unaweza ukacheka

Huu mwezi nilikuwa Uganda tena kampala yenyewe kabsa!!! Oya kiukweli ule mji ni wa kichoko sana,hakuna plan yoyote ya kwamba huu ni mji mkubwa…kampala ni kama moro wanangu…..ila hivi sasa wanajenga flyover ndefu sana kama ya KM 3 nahisi itaweza kubadili mazingira ya ule mji kidogo

Unapotembea,tembea kifua mbele…sisi ni matajiri sana

MUNGU ibariki Tanzania
 
Oya wanangu wa bongo sisi tupo vizuri sana kwa hapa EA,mara ya kwanza kabla sijatoka nilikuwa naiona bongo kama vile siielewi Fulani hivi!!!!!! Lakini last month nilifanikiwa kurudi Kenya nimeona mambo ni yale yale hakuna maendeleo yoyote watu wana shida mpaka zinawanukia yaani ule umaskini wenyewe……kula tu ni mtihani,kuoga ndo usiseme halafu ukichanganya na walivyo weusi kama south sudan unaweza ukacheka

Huu mwezi nilikuwa Uganda tena kampala yenyewe kabsa!!! Oya kiukweli ule mji ni wa kichoko sana,hakuna plan yoyote ya kwamba huu ni mji mkubwa…kampala ni kama moro wanangu…..ila hivi sasa wanajenga flyover ndefu sana kama ya KM 3 nahisi itaweza kubadili mazingira ya ule mji kidogo

Unapotembea,tembea kifua mbele…sisi ni matajiri sana

MUNGU ibariki Tanzania
Someone who has travelled doesn't speak this way. Danganya toto jinga.
 
Oya wanangu wa bongo sisi tupo vizuri sana kwa hapa EA,mara ya kwanza kabla sijatoka nilikuwa naiona bongo kama vile siielewi Fulani hivi!!!!!! Lakini last month nilifanikiwa kurudi Kenya nimeona mambo ni yale yale hakuna maendeleo yoyote watu wana shida mpaka zinawanukia yaani ule umaskini wenyewe……kula tu ni mtihani,kuoga ndo usiseme halafu ukichanganya na walivyo weusi kama south sudan unaweza ukacheka

Huu mwezi nilikuwa Uganda tena kampala yenyewe kabsa!!! Oya kiukweli ule mji ni wa kichoko sana,hakuna plan yoyote ya kwamba huu ni mji mkubwa…kampala ni kama moro wanangu…..ila hivi sasa wanajenga flyover ndefu sana kama ya KM 3 nahisi itaweza kubadili mazingira ya ule mji kidogo

Unapotembea,tembea kifua mbele…sisi ni matajiri sana

MUNGU ibariki Tanzania
 
JPM was never open in anything. He loved getting credit even where he doesn't deserve. If he lied to you people about a serious health issue like Covid-19 what makes you think he couldn't lie about the funding of your mega projects?
Kwa nini hii ishu ya COVID bado mnang'ang'ania! Covid was a hoax! Kila kitu kipo wazi! Bado tu mnapiga makelele tulidanganya. Nyie ndo mlidanganya na mnaendelea kudanganya.

I never supported JPM ila kwenye COVID nipo nyuma yake 100%
 
Ulitaka mzungu atoke Marekani aje kurepoti? Jinsi wanahabari wenu walivyo wavivu mnategemea wanahabari wa Ulaya na Marekani na Kenya usidhani huku tumezubaa hivo.
Kwenye sekta ya Habari usijaribu kabisa! Waandishi wenu ndo the most incompetent Africa mzima. They are only good at reporting lies and fake news. Kila mtu anajua.

Au kwa hiko kingereza chenu broken ndo mnajiona mko juu.

Bila ya Aga khan bado mngekiwa kwenye redio mbao nyie!

Azam TV. Kama kuna kitu kinafika hata robo ya hii kitu huko kwenu ndo uongee na mimi!
 
Kwenye sekta ya Habari usijaribu kabisa! Waandishi wenu ndo the most incompetent Africa mzima. They are only good at reporting lies and fake news. Kila mtu anajua.

Au kwa hiko kingereza chenu broken ndo mnajiona mko juu.

Bila ya Aga khan bado mngekiwa kwenye redio mbao nyie!

Azam TV. Kama kuna kitu kinafika hata robo ya hii kitu huko kwenu ndo uongee na mimi!
CITIZEN is the biggest broadcasting company in East and Central Africa
 
Kwa nini hii ishu ya COVID bado mnang'ang'ania! Covid was a hoax! Kila kitu kipo wazi! Bado tu mnapiga makelele tulidanganya. Nyie ndo mlidanganya na mnaendelea kudanganya.

I never supported JPM ila kwenye COVID nipo nyuma yake 100%
How do I start engaging a person who believes covid was a hoax? It's a hoax to you because you or a close member of your family or circle of friends didn't get infected to the point of needing a ventilator to breath.

If it was a hoax mbona basi mliambiwa mlijifukize ili kuepuka kuambukizwa corona na mkafanya alivyowaamuru?
 
Hebu tuoneshe hiyo JKIA sura yake ipoje 😀 😀 😀 😀

NBO_1-984x554.jpg


VS

07xm98J.jpg
 
Back
Top Bottom