Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Heb wacha upumbavu wew..Show me any broadcasting company bigger than Citizen in the region.
Heb wacha upumbavu wew..Show me any broadcasting company bigger than Citizen in the region.
Africa ni kichekesho sn, alafu miji mingi ya kiafrika ina vumbi lile jekundu, inakera sana.Oya wanangu wa bongo sisi tupo vizuri sana kwa hapa EA,mara ya kwanza kabla sijatoka nilikuwa naiona bongo kama vile siielewi Fulani hivi!!!!!! Lakini last month nilifanikiwa kurudi Kenya nimeona mambo ni yale yale hakuna maendeleo yoyote watu wana shida mpaka zinawanukia yaani ule umaskini wenyewe……kula tu ni mtihani,kuoga ndo usiseme halafu ukichanganya na walivyo weusi kama south sudan unaweza ukacheka
Huu mwezi nilikuwa Uganda tena kampala yenyewe kabsa!!! Oya kiukweli ule mji ni wa kichoko sana,hakuna plan yoyote ya kwamba huu ni mji mkubwa…kampala ni kama moro wanangu…..ila hivi sasa wanajenga flyover ndefu sana kama ya KM 3 nahisi itaweza kubadili mazingira ya ule mji kidogo
Unapotembea,tembea kifua mbele…sisi ni matajiri sana
MUNGU ibariki Tanzania![]()
Hoax means hyped, it was just a petty matter, didn't necessarily have to be exaggerated the way they did, ninyi mlivyo wapumbavu ndio mliua tens of people just for curfewsHow do I start engaging a person who believes covid was a hoax? It's a hoax to you because you or a close member of your family or circle of friends didn't get infected to the point of needing a ventilator to breath.
If it was a hoax mbona basi mliambiwa mlijifukize ili kuepuka kuambukizwa corona na mkafanya alivyowaamuru?
Si ulisemaga Ghana imeacha Tanzania mbali sanaGhana imefilisika
Wenzio wanaota midnight wewe unaota evening 🤣SGR from Naivasha to Kisumu and Uganda border loading.........................................
View attachment 2453827
Na mimi nilitaka kumuuliza atuelezee, haya kulikoni.?Si ulisemaga Ghana imeacha Tanzania mbali sana
Me mwenyewe nashindwa kuelewa,tuna viongozi, wazembe na sio wabunifu kabisa..Hivi inashindikana nini pale water front ya Obama Drive kufanya kitu kama hiki? Ukicheck its just halfway ya kilichopo, kwani face lift ya namna hii sh ngapi? Hapa ni Equatorial Guine. View attachment 2453832
You forget the number of people your government silently killed by lieng to them about the existence of the disease? Those who didn't take precautions because covid was a hoax. Mnachekesha sana watanzaniaHoax means hyped, it was just a petty matter, didn't necessarily have to be exaggerated the way they did, ninyi mlivyo wapumbavu ndio mliua tens of people just for curfews
Kabisa, me nilidhani baada ya ile dual carriage municipal wangejiongeza kusogeza pavings na hata kuweka garden and trees, lakini imebaki vilevile na zile palms zimekufa, yaani hili nalo mpaka tukope? Ilala municipa council mnazingua………pendezesheni mji, najua mnapita humu.Me mwenyewe nashindwa kuelewa,tuna viongozi, wazembe na sio wabunifu kabisa..
Sababu mpaka nchi iitwe imefilisika sio kazi ndogo 😅😅😅Na mimi nilitaka kumuuliza atuelezee, haya kulikoni.?
Government killed them? Serikali iliwanyima dawa za covid?You forget the number of people your government silently killed by lieng to them about the existence of the disease? Those who didn't take precautions because covid was a hoax. Mnachekesha sana watanzania
Thank you Uganda.
Hapo tutampa manji ajenge hizo pavements beach iwe yake for 20yrs then ataturudishia.Kabisa, me nilidhani baada ya ile dual carriage municipal wangejiongeza kusogeza pavings na hata kuweka garden and trees, lakini imebaki vilevile na zile palms zimekufa, yaani hili nalo mpaka tukope? Ilala municipa council mnazingua………pendezesheni mji, najua mnapita humu.
Hii ngozi inaashilia kutaabika na kuteseka kwa mkundustan mmoja. Na kunaviashiria kadhaa vinaonyesha yeye ni jobles. Mchana anapigika na jua usiku kunguni wa kibera.Kishikaji hakina afya kabisaView attachment 2453651View attachment 2453652View attachment 2453653View attachment 2453654
Umekula lakini mtoto.Show me any broadcasting company bigger than Citizen in the region.