Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Sa mbona hii ni picha ya meli.? Au wewe unaona bandari.?Kisumu Port.
View attachment 2455096
Sa mbona hii ni picha ya meli.? Au wewe unaona bandari.?Kisumu Port.
View attachment 2455096
Hii umeokota wapi.?
Naona umeamua makusudi kuiruka hoja yangu ya tozo. Hiyo trilioni 22 ni wastani wa trilioni 1.8 kwa mwezi, hii ikijumlisha makamuzi yasiyo ya huruma ya tozo. Kipindi kilichopita hakukuwa na tozo lakini bado makusanyo yalikuwa yanafika trilion 1.5 kwa mwezi.Chamoto kumbe na wewe ni mzushi?
Awamu ya 5 hawajawahi kukusanya kodi kama awamu hii,matumizi ni makubwa kuliko uwezo ndio maana wanakopa lakini usipindishe uhalisiaView attachment 2454631
Chakula tu mbinde, hela za mpira watatoa wapi?! 😂Kenya wanapigiwa makofi…..😅😅
Makenya ni majinga sn mpk leo bado yanaendelea kutengeneza data yn unakuta kajitu hakana kazi na kana maisha mabovu lkn utakuta kanakesha kutengeneza data kaweke mtandaoni kapate sifa, basi apo huwezi amini kanafurahi hata kama kanajua ukweli haupo hivyoHii umeokota wapi.?






Nje ya mada nimeishi sana maeneo hayo, nyuma ya Ubungo Plaza na Ubungo National Housing Primary School. Ni maeneo yangu hayo mkuu, kila nikija dar nikifika hayo maeneo najihisi niko home kabisaa![]()
![]()
Nimecheka sana huo mstari! Mimi nimezaliwa Muhimbili na kukulia Ubungo NHC, Nyuma ya Ubungo Plaza kuna Rubada na nyuma kuna kota huko. Hakukua na mtu aliyekuwa na Ng'ombe hizo pande ndugu.
Shukran kwa kunichekesha na mstari wako wa Ng'ombe.![]()






Hawajui kingereza wala kiswahili, wanachojua ni lugha zao za kikabila wasamehe bureUlitaka kusema "ndumila kuwili"? Au uko kwenu Kenya ndivyo msemavyo?








Hapo ni Kisumu oil jetty which Mwanza will never have. Ukiangalia hii picha utaiona on the other side of the lake. That's where oil tankers dockSa mbona hii ni picha ya meli.? Au wewe unaona bandari.?
Tanzania Airports Authority website.Hii umeokota wapi.?
Kumbe ndio maana, basi nimeelewa , ahsante kwa kunitoa gizani mkuuNdiyooo![]()



Endeleeni kulia 😂😂🤣😂Makenya ni majinga sn mpk leo bado yanaendelea kutengeneza data yn unakuta kajitu hakana kazi na kana maisha mabovu lkn utakuta kanakesha kutengeneza data kaweke mtandaoni kapate sifa, basi apo huwezi amini kanafurahi hata kama kanajua ukweli haupo hivyo![]()
Kasema huyo mwenzako anajiita mihogo. Ila yeye aliita heard imunity!Watu wanamchezo sana,Herd immunity kasema ni nn?![]()
Wana kila sababu ya kumchukia Magufuli hata mimi nawabariki wazidi kumchukia tu maana alituamsha na hatulali tena Watanzania.Unatia huruma wallahi, najua unapitia kipindi kigumu sana ila utazoea. Tz tumetumia miaka saba (7) tu kuzidi flyover zenu za tofali, mbaya zaidi sisi tumejenga modern flyover na tushawazidi kwenye flyover, huu msemo wako ulikuwa unafanya kazi miaka mitano iliyopita sio sasa, tuko juu yenu kwa kila kitu, ila pole kwa kuku disappoint![]()




utazidi kuwaka.Na ukisikia vile mabati rolling mills husifiwa hapa...! Utabaki kinywa waziTotal cargo handled in 2021.
JKIA Vs Mabati rolling mills.
JKIA 363,204 tons
View attachment 2455124
Mabati rolling mills 20,000tons
View attachment 2455125
Oyaaa mimi pande hizo ni Miaka ya 1980s mpaka 1990s. Watu wa kitambo hicho ni Ngaiza, Mwanza, Deus (ambaya ndio Kajumulo aliyekuwa na timu ya mpira), Gawasa, Kigan, Chawenda na wengine wengi.Nje ya mada nimeishi sana maeneo hayo, nyuma ya Ubungo Plaza na Ubungo National Housing Primary School. Ni maeneo yangu hayo mkuu, kila nikija dar nikifika hayo maeneo najihisi niko home kabisaa
Kuna mzee mmoja anaitwa Mzee Shayo(dalali) ni rafiki yangu sana, mzee Mushi (R.I..P).
Kuna password hotel imetulia sana, Kagame hotel,MIC hotel,n.k. Ebwanaee umenikumbusha maeneo yangu mzee.
Mungu akijaalia baada ya sikukuu nakuja nikishavuna mazao yangu![]()
Hawa watu hawapendi facts. Nowadays tuusan and Walker255 are their enemies cause they are arguing using facts. Ingekuwa wakenya hawazingatii facts kama hao saa hii discussion ingeshaisha kitambo juu kwa maneno huwawezi. Just try to imagine Kenyans are less than ten in this thread na ndio tunawapea jasho hivi, so tungekuwa hata 50 ingekuaje Sasa?😂😂🤣.Na ukisikia vile mabati rolling mills husifiwa hapa...! Utabaki kinywa wazi
Wanaibiana hadi magari.Kenya hutembei na kadi ya gari kama kwetu hata kama ni copy yake. Ustaajabu jinsi li nchi Lao lilivyo la hovyo kwa rushwa na wizi wanaingia kwenye mfumo wanabadili kila kitu na mamlaka hazifanyi kituKila mtu ni mwizi Kenya![]()



.




