7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,066
Labda..Kupitia huu uzi wanaona na watafanya hivyo, yamefanyika mengi kupitia humu.
Labda..Kupitia huu uzi wanaona na watafanya hivyo, yamefanyika mengi kupitia humu.
Hivi uzuri na ubora wa kiwanja unapimwa kwa idadi ya watumiaji au unatokana na design ya jengo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Total cargo handled in 2021.
JKIA Vs Mabati rolling mills.
JKIA 363,204 tons
View attachment 2455124
Mabati rolling mills 20,000tons
View attachment 2455125
Lililopendelewa na nani? Kuna sehemu Tanzania ina hdi kubwa zaidi ya kaskazini?Nimemkumbuka Mh JPM mbali na madhaifu yake kufufua reli ya kaskazini ilikua kazi moja ya Heshima kubwa kwa watu wa Kaskazini...
Kaskazini kunafikika kwa barabara nzuri,reli ama ndege....Ni hakika ni moja ya eneo lililopendelewa miundombinu yote
Umejaa propaganda na upotoshaji.Ww huwez kujua faida za kujifukiza ndio tiba nzuri sana na iliotumiwa na mababu zetu na huwez kudharau tiba hasa wazungu wamekwambia haina tiba 🤣🤣🤣 haya niambie ww yale machanjo yalifkia wapi na ugonjwa uko wapi yani unataka kunambia 21st century bado hamuna hata akili yakufikiri na kuona mbali na covid ilianzishwa na wao kuuwa uchumi wa africa
Haya niambie wazungu walitabiri waafrica watakufa na watazagaa barabarani ziko wapi sasa hzo siasa, punguza ujinga siku zote akili za kupewa changanya na zako
Tozo sio kodi na haiko katika hesabu za TRANaona umeamua makusudi kuiruka hoja yangu ya tozo. Hiyo trilioni 22 ni wastani wa trilioni 1.8 kwa mwezi, hii ikijumlisha makamuzi yasiyo ya huruma ya tozo. Kipindi kilichopita hakukuwa na tozo lakini bado makusanyo yalikuwa yanafika trilion 1.5 kwa mwezi.
Hakuna,limependelewa na nani ilo ni swali gani?Lililopendelewa na nani? Kuna sehemu Tanzania ina hdi kubwa zaidi ya kaskazini?
Umeandika eneo lililopendelewa; kupendelewa ina maana eneo husika halistahili!Hakuna,limependelewa na nani ilo ni swali gani?
Sikuelewo hata unachotafuta. Nadhani akili zako haziko sawa.Breakdown ya $10B Tanzania SGRView attachment 2455165
Kenya hata phamacy zinaitwa hospital.Sikuelewo hata unachotafuta. Nadhani akili zako haziko sawa.
Wewe hata u nurse unaosema kwamba ndiyo career yako nakataa, hakuna mfanyakazi wa health sector akawa busy na mitandao ya kijamii namna hiyo, si unamuona tuusan hapatikani mda wote kama wewe! Eti nurse alafu huna hata muda wa kupumzika, wewe ni jobless huna kazi wewe fala. Muda wote upo JF hiyo kazi unafanya saa ngp? Kidonda utaosha saa ngp na inajulikana kabisa hyo sector ilivyo busy, huna kazi msenge wewe wacha uongo.Endeleeni kulia [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
View attachment 2455118View attachment 2455120View attachment 2455121
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye akithubutu kuweka wake angalia vizuri kucha, zina weusi ambao ni uchafu wa siku nyingi kwasababu ya kukosa maji masafi, hajisafishi vizuri...uchafu wao uko damuni.
Kama ukiona kucha safi ujue si mkono wake. Mtegeshee siku nyingine atajisahau tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]