Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Sikuonyeshi, amini unachotakaHuna gari wewe. Unaendesha takataka.
Sikuonyeshi, amini unachotakaHuna gari wewe. Unaendesha takataka.
Rudi kwenu Mombasa. Je, ushoga umepungua mombasa!?Sawa baboon
Mimi nilimuuliza swali dogo tu, "Ni wakati gani aliacha kuwa serious na masomo darasa la ngapi?".Bajeti ya trillion 35 ni bajeti ya mwaka mmoja, SGR itamalizika 2026 kuanzia 2017, hiyo ni miaka 9, Kama ukifanya hesabu ni 35trl x 9 = 315trl. Kwa kutumia akili yako vipi inawezekana au haiwezikani kujenga SGR ya 23trl kutoka kwenye bajeti ya 315trl?.
Halafu hiyo miradi mingine uliyotaja BRT, Dar na Msalato Airports sio pesa za ndani, ila Bwawa la Nyerere ni pesa za ndani. Jaribu kufikiria kabla ya kuandika kitu, sio wote hapa ni mbumbumbu Kama wakenya.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huna wewe gari. Hapo ulipo upo kwenye matatu kutoka nyeri.Sikuonyeshi, amini unachotaka
Ninyi wakenya hakuna zaidi ni wivu tu, mnataka tulingane katika ujinga. Swali la kujiuliza ni kwamba, Tanzania ndiyo inayoongoza kwa miradi mikubwa hapa EA, thamani ya miradi iliyoanzishwa na JPM ni zaidi ya thamani ya miradi yote ya KE, UG, RW + BRD combined, Kama miradi yote ni mikopo, iweje Tanzania iwe ndiyo nchi yenye deni dogo zaidi kuliko nchi zote?, Tanzania Debt to GDP ratio was 36% by the time Magufuli anakufa, the lowest in the regionNakubaliana nawe kwa hili. JPM aliwadanganya sana watanzania kuhusu ufadhili wa miradi mikubwa and it's a pity most Tanzanians believed him. Afadhali yule anayekuambiwa ukweli mchungu kuliko anayekudanganya na uwongo mtamu
Stop posting cheap things. Go and sleep.
Amekosa gari za kenya.Nimecheka sana hapo ni wapi na gari za wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na hio plate number ya nchi gani
WivuuuuuMagufuli borrowed both phase one and two. Tanzania didn't even spent a penny on the SGR project.





🤣🤣🤣🤣 yani hawa watu wamewehuka sijuiAmekosa gari za kenya.
Tajiri na middleclass wa dar wanateseka kweli. Unachangywa na umaskini bila kupenda. Hakuna ustaarabu kwa brt



sasa nyie mbona mnapanda matatu?matatu surely nayo ni k2 ya ku brag?Wanaishi katika Imaginary world.🤣🤣🤣🤣 yani hawa watu wamewehuka sijui
Toyota Land cruiser 76 zote za East and Central Africa zinakua assembled Mombasa, ukipata Assembler mwingine within East Africa nitag nifunge account.
Uongo. Toka kwenye ndoto utajinyea. Amka.Toyota Land cruiser 76 zote za East and Central Africa zinakua assembled Mombasa, ukipata Assembler mwingine within East Africa nitag nifunge account.
Wow from kenya 🤣🤣🤣🤣🤣
Toka kwenye ndoto utajikojolea.Mtumba from China.
Mombasa port. The busiest in East Africa.Nimecheka sana hapo ni wapi na gari za wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na hio plate number ya nchi gani
Busy for nothingMombasa port. The busiest in East Africa.
www.hanspaul.co.tz
Mkuu, Samia amesema kweli nimemshangaa Sana huyu mama kwakweli, hata sijui ilitaka kumaanisha nini.