Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Mombasa inatoa dar jasho sanaUpana sio issue kwanza ilmradi magari yanavuka
Mombasa inatoa dar jasho sanaUpana sio issue kwanza ilmradi magari yanavuka
Hebu onesha gari lako tulione.Mimi siwezi wacha gari langu nkapande brt nipakwe jasho na masharobaro na kukwama kwa junctions wakati naweza lipia expressway nifike na dakika kumi
Mombasa inaitoa Dar jasho kwa ushoga.Mombasa inatoa dar jasho sana
Gari unapark kimara uko unaingia mjini na rapid bus Unless iwe ni lazima sana kuingia nalo mjini...sasa kwa dar ilivyo kila mtu alisema anakomaa na gari lake hata parking ni shida mjiniMimi siwezi wacha gari langu nkapande brt nipakwe jasho na masharobaro na kukwama kwa junctions wakati naweza lipia expressway nifike na dakika kumi
Mombasa ni island unlike darMombasa sasa
View attachment 2453110
Mombasa is your sec very important city lazima mpaboresheMombasa inatoa dar jasho sana
Bajeti ya trillion 35 ni bajeti ya mwaka mmoja, SGR itamalizika 2026 kuanzia 2017, hiyo ni miaka 9, Kama ukifanya hesabu ni 35trl x 9 = 315trl. Kwa kutumia akili yako vipi inawezekana au haiwezikani kujenga SGR ya 23trl kutoka kwenye bajeti ya 315trl?.Tukope tu, deni bado ni himilivu, zama za kudanganywa hatukopi huku tunakopa kimyakimya zimepitwa na wakati. BTW utajengaje over 1500km za SGR (about 23trilion), Bwawa la umeme, BRT, International Airports, miradi mingine ya maendeleo kwa bajeti ya 35trilion?
Walipa kodi wenyewe hakuna wa kutosha, tozo hamtaki, kukopa pia hamtaki ila mnataka kushindana humu na miradi ya matrilioni……nyie watu vipi?
Muone wewe na nyanyako au?Hebu onesha gari lako tulione.
Iyo no2 watu wamezima data kabisakwa hasiraHakuna watu saiz wana maisha magumu kama hawa
1. Wakenya juu ya maendeleo ya Tanzania hasa kwenye ujenzi wa SGR
2. Mashabiki wa CR7 baada ya Messi kushinda World Cup
![]()
Mama amepiga hapa kujisafisha na hali yake ya ukopaji uliokithiri! Sio kweli kuwa vipande vyote ni mkopo.Keshapanic mnuka mavi![]()
Kumbe we shoga hadi unatakwimuMombasa inaitoa Dar jasho kwa ushoga.
Unadhani haijui mombasa. Mombasa inapingwa na Iringa.Mombasa ni island unlike dar
Huna gari wewe. Unaendesha takataka.Muone wewe na nyanyako au?
Tajiri na middleclass wa dar wanateseka kweli. Unachangywa na umaskini bila kupenda. Hakuna ustaarabu kwa brtGari unapark kimara uko unaingia mjini na rapid bus Unless iwe ni lazima sana kuingia nalo mjini...sasa kwa dar ilivyo kila mtu alisema anakomaa na gari lake hata parking ni shida mjini
Sawa baboonUnadhani haijui mombasa. Mombasa inapingwa na Iringa.
Wachapa kazi mmeshindwa kuzoa takataka mpaka wachina waje.Assembled in Mombasa Kenya for lazy bongalalas.