REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,235
- 10,923
Dar hadi Moro ndiyo fedha za ndani, na hadi JPM anaondoka ilikuwa imeshakamilika reli yote ilibaki vitu vya ziada tu.
Na alisema phase inayofuata mpaka Makutupora Dodoma ndiyo mkopo kwa asilimia kadhaa na alishauchukua yeye mwenyewe wa ujenzi huo aliusaini.
Atuambie mkopo aliyochukua ni wa phase ya ngapi.
Ni mpumbavu sana huyu mama! na mihela yote aliyekopa, serikali haina hela.
$10B kwa 2100 kilometers of electric SGR
$6B kwa 600 kilometers of kuni SGR 