Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hongesa Sana Himid Mao 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-195221.png
    Screenshot_20220902-195221.png
    196.9 KB · Views: 19
Siwaamini Wahindi kwenye masuala ya defense equipments ila Wacha tuone 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-085008.png
    Screenshot_20220902-085008.png
    30.2 KB · Views: 16
Duniani hamna hospitali mwananchi anatibiwa bure labda nchi za kisoshalisti kama Cuba na North Korea! Lazma matibabu kuchangiwa iwe kwa bima ama malipo ya moja kwa moja!
Sauzi ni bure kabisaa. Unaweza ona kama maajabu hivi ukienda kutibiwa.
 
Katika kitu JPM hakunifurahisha ilikua kutengua uteuzi wa hiki kichwa NHC

Anyway amerudi na moto wake!


Alitaka NHC (au kutumia hela za NHC) kujenga kwanza majengo ya kutolea huduma za jamii zinazomgusa au kumsaidia hata mtu wa chini kama hospitals za wilaya, kikanda au mikoa, majengo ya mahakama, machinjio etc.. hii ni pengine kutokana na ufinyu wa budgets ya serikal kugharamia miradi mbalimbali.. ishu kubwa hapa ni priority.. majengo ya huduma kwanza then apartments.. imagine hela za apartments mfano za kawe, zinaweza kujenga majengo ya hospitals kubwa ngapi, au machinjio ya kisasa ngap

Lkn hawa NHC nitaona ni wa maana kama watajenga apartments za kupangisha na si kuuza.. kwa mtazamo wangu, NHC kupangisha ni rahisi kuliko kuuza
 
Hakuna kichwa wala tumbo huko nhc, for it has been a shi***t organization. A wastage of time.
Alitaka NHC (au kutumia hela za NHC) kujenga kwanza majengo ya kutolea huduma za jamii zinazomgusa au kumsaidia hata mtu wa chini kama hospitals za wilaya, kikanda au mikoa, majengo ya mahakama, machinjio etc.. hii ni pengine kutokana na ufinyu wa budgets ya serikal kugharamia miradi mbalimbali.. ishu kubwa hapa ni priority.. majengo ya huduma kwanza then apartments.. imagine hela za apartments mfano za kawe, zinaweza kujenga majengo ya hospitals kubwa ngapi, au machinjio ya kisasa ngap

Lkn hawa NHC nitaona ni wa maana kama watajenga apartments za kupangisha na si kuuza.. kwa mtazamo wangu, NHC kupangisha ni rahisi kuliko kuuza
Lakini NHC ndio inamiliki almost 60% ya majengo yote yaliyopo katika CBDs za almost kila mkoa mkubwa Tanzania, NHC ina potential kubwa sana ikipata Intel nzuri, maeneo mengi posh areas Tanzania yanamilikiwa na NHC na mengine yapo idle tu hayaendelezwi huku wananchi wakiamua kujijengea nyumba holela.

Kuna kipindi walivalue NHC wakakuta ndio real-estate dealer mkubwa Africa kieneo/milki.
 
Alitaka NHC (au kutumia hela za NHC) kujenga kwanza majengo ya kutolea huduma za jamii zinazomgusa au kumsaidia hata mtu wa chini kama hospitals za wilaya, kikanda au mikoa, majengo ya mahakama, machinjio etc.. hii ni pengine kutokana na ufinyu wa budgets ya serikal kugharamia miradi mbalimbali.. ishu kubwa hapa ni priority.. majengo ya huduma kwanza then apartments.. imagine hela za apartments mfano za kawe, zinaweza kujenga majengo ya hospitals kubwa ngapi, au machinjio ya kisasa ngap

Lkn hawa NHC nitaona ni wa maana kama watajenga apartments za kupangisha na si kuuza.. kwa mtazamo wangu, NHC kupangisha ni rahisi kuliko kuuza
Machinjio ya Vingunguti inaoza pale!
 
Hivo vituo viko sehemu gani?
Nimeongea mara nyingi na narudia hapa kwamba tozo specifically ni kusaidia zaidi Vijijini..

Kwa hiyo vituo viko Vijijini na baadhi yake ni hivi hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220812-104856.png
    Screenshot_20220812-104856.png
    259.9 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220812-104925.png
    Screenshot_20220812-104925.png
    305.9 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220812-104841.png
    Screenshot_20220812-104841.png
    268.4 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220805-214143.png
    Screenshot_20220805-214143.png
    157.1 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220730-075101.png
    Screenshot_20220730-075101.png
    126.7 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220730-074637.png
    Screenshot_20220730-074637.png
    158.4 KB · Views: 20
  • Screenshot_20220713-194118.png
    Screenshot_20220713-194118.png
    155.5 KB · Views: 20
Back
Top Bottom