Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Actually SA and Brazil is usually ranked in the same group. India ni kama tu Nigeria.
Wahindi wanamfumo wao,Masikini ni masikini anatengwa kabisa,tajiri ni tajiri...sasa katika hali ya kawaida lazima Masikini wawe wengi...cake ya nchi yao inaliwa na kundi fulani zaidi wengi wakibaki mafukara,sa jiulize gdp ya India ukigawa kwa pop per capita inafanana na ya kenya or ahead by few cents
 
20220902_232418.jpg
20220902_232524.jpg
20220902_232426.jpg
 
Wahindi wanamfumo wao,Masikini ni masikini anatengwa kabisa,tajiri ni tajiri...sasa katika hali ya kawaida lazima Masikini wawe wengi...cake ya nchi yao inaliwa na kundi fulani zaidi wengi wakibaki mafukara,sa jiulize gdp ya India ukigawa kwa pop per capita inafanana na ya kenya or ahead by few cents
Wewe huwa una imagination sana wewe 🤣, kuwa mfuatiliaji wa mambo ili uwe unajua kwa ukaribu what's going on kwenye hizo nchi
 
Wahindi wanamfumo wao,Masikini ni masikini anatengwa kabisa,tajiri ni tajiri...sasa katika hali ya kawaida lazima Masikini wawe wengi...cake ya nchi yao inaliwa na kundi fulani zaidi wengi wakibaki mafukara,sa jiulize gdp ya India ukigawa kwa pop per capita inafanana na ya kenya or ahead by few cents
Outside Health especially Pharmaceutical I don't think India can influence anything else in the world. I can't talk about tuk tuk and Okada cause those are means of transport mainly used in third world countries. Developed countries use motorbike to do deliveries but not as taxi.
 
Outside Health especially Pharmaceutical I don't think India can influence anything else in the world. I can't talk about tuk tuk and Okada cause those are means of transport mainly used in third world countries. Developed countries use motorbike to do deliveries but not as taxi.
Pitia huu mji mwingine unaitwa Pune City 👇.
 
Pitia huu mji mwingine unaitwa Pune City 👇.

This one is great. I like the greenery, landscaping and how they have decided to go with short and beautiful buildings. It's the first clean city I have seen from India but now the negative part is the air quality. It seems they are going the China way when it comes to air quality.
 
This one is great. I like the greenery, landscaping and how they have decided to go with short and beautiful buildings. It's the first clean city I have seen from India but now the negative part is the air quality. It seems they are going the China way when it comes to air quality.
Wanayo miji mipya mingi wanatengeneza.. ha kwenye miji yao mikubwa kama, Delhi na Mumbai kuna projects mpya nyingi wanafanya .. projects za HSR n.k
 
Do you mean Indian GDP is like kunyaland GDP , ghost [emoji317] GDP haaaaaaaa . For the first time I understood your argument
a point of correction!🖐🏽

don't ever mention gdp without tagging it with a country's population.....

nb.
their's no country in the world tht has a big gdp and smaller population tht has ever failed.! the likes of nigeria and India ni ushuzi
 
a point of correction!🖐🏽

don't ever mention gdp without tagging it with a country's population.....

nb.
their's no country in the world tht has a big gdp and smaller population tht has ever failed.! the like if nigeria and India ni ushuzi
Mnawezana na India .? 🤣🤣
 
This one is great. I like the greenery, landscaping and how they have decided to go with short and beautiful buildings. It's the first clean city I have seen from India but now the negative part is the air quality. It seems they are going the China way when it comes to air quality.
Wewe mtu unayetokea slum hub huna mandate ya kuikosoa India, kuwa na adabu.
 
Back
Top Bottom