The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
We unatuletea mambo ya kisiasa ya nchini kwenu yanatuusu nn humu? Uchaguzi wenu ushaisha tushawaachia mambo yenu muyamalize wenyewe msituletee humu hatupo interested na huo upuuzi wenu.
We unatuletea mambo ya kisiasa ya nchini kwenu yanatuusu nn humu? Uchaguzi wenu ushaisha tushawaachia mambo yenu muyamalize wenyewe msituletee humu hatupo interested na huo upuuzi wenu.
Nafikiri now ushaona udhaifu wa serikali iliyopo.Aendelee kulialia atakuta watu wamemaliza kila kitu
Hawa jamaa wanabore sana kaka, Na haya ndio Madhara ya uchaguzi wa kisenge uliofanyika 2020,Nafikiri now ushaona udhaifu wa serikali iliyopo.
Lushoto iyo kaka hatari
View attachment 2342948Rais naye analalamika badala ya kuchukua hatua
Tuna wanasiasa wapumbavu sn nchi hii, na bado tunaambiwa mbunge co lazima awe amesoma, eti darasa la saba linatosha kabisa mtu kuwawakilisha wasomi na wasio wasomi mwisho wake ndiyo haya yanayotokea, viongozi wamechagua kuwa wabinafsi miaka nenda rudi, kila kiongozi ameona njia pekee ya kumpa ugali ni kusifu kila kitu cha serikali, upumbavu huu cjui utaisha lini aisee.Hawa jamaa wanabore sana kaka, Na haya ndio Madhara ya uchaguzi wa kisenge uliofanyika 2020,
Mbunge anatakiwa ajue kuhoji kwa maslahi mapana ya nchi sio kuangalia tu tumbo lake..
Yanapitishwa mambo ya kijinga sana mle ndani hakuna wa kuhoji.
Huu urithi wa wajinga tulioachiwa utatutesa sana.Sasa mbaya zaidi remote control haipo Ameenda zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Na hilo mkalitizame"
Naona akili zimeaanza kurudi mwanzo ulikua unanfagilia sana mamaJpm Alibana wakubwa mbavu akajenga hosp hc disp nk...sasa Mama kaona ni dhulma wacha tugawane hasara ,kinachotuuma sio tozo,ni ku9na wanaagiza mav8 ya 500M ilhali watu tunabinywa kila angle...atleast wangejibana basi mambo yaende...Yani tunajibana alafu yanatokea matumizi ya hovyo katikati
Sheikh Sama boy.., 🙅., 😜😂Hizi kesi bhana wewe..
Uislamu ndio umeletwa na waarabu ila sio kila Mwarabu ni muislamu alkadhalika na ukristo, kwahyo walioeneza dini walifanya hivyo na walio tunyonya pia walifanya kilichowaleta, and that's why tuko na both effects za dini pamoja na za exploitation
Kwenye masuala ya usmamizi wa sheria/watengeneza organizations katika dini, nitajibu kwa upande wa waislam pekee, kiislamu hukumu zote zitatekelezwa kwa mujibu wa kitabu kilivyoandikwa and there's no one above the law..
Mambo za Catholic church nisingependa kukujibu kiundani, sitaki kuwakwaza christians humu
Katiba mpya tu apaTuna wanasiasa wapumbavu sn nchi hii, na bado tunaambiwa mbunge co lazima awe amesoma, eti darasa la saba linatosha kabisa mtu kuwawakilisha wasomi na wasio wasomi mwisho wake ndiyo haya yanayotokea, viongozi wamechagua kuwa wabinafsi miaka nenda rudi, kila kiongozi ameona njia pekee ya kumpa ugali ni kusifu kila kitu cha serikali, upumbavu huu cjui utaisha lini aisee.
Mkuu, Kuna Mambo mengi mazuri yaliyoletwa na wazungu, pia Kuna Mambo mengi ya kijinga pia. Tunapaswa kuendeleza Yale mazuri na kuachana na Yale ya kijinga.Likijaga suala la dini watu wanasema zimeletwa na wazungu na Waarabu tunatakiwa tufuate asili zetu.
Ila kwenye mambo ya vitu na maendeleo hawasemi tuache magari tutembee kwa miguu au tuishi kwenye mapango nk.
ReligiousWhat are you? Are you religious or atheist?
Christian, Islam, African or what? Please forgive my quiz, there's something I want to confirm.
Kwamba hospitali wanatibiwa bure[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]kwann asifanye tafiti zake kabla hajaongea.
u-DC unanukia!
Waliongezewa elfu 50 kumbe mamaao anaongeza 50 anachukua laki mbili.Naona akili zimeaanza kurudi mwanzo ulikua unanfagilia sana mama
Duniani hamna hospitali mwananchi anatibiwa bure labda nchi za kisoshalisti kama Cuba na North Korea! Lazma matibabu kuchangiwa iwe kwa bima ama malipo ya moja kwa moja!Kwamba hospitali wanatibiwa bure[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]kwann asifanye tafiti zake kabla hajaongea.
Tozo sio shida lakini kwann wanaendelea kununua mav8 ya 500M kwann hawabani matumizi? Izo b558 za kununua magari,maintenance kwann wasipunguze iy9 budget hela wazipeleke kwenye mahitaji ya msingi...na ndio mana watu tunazikataa kwasababu hatuoni sababu ya msingi kubanwa alafu wao wakubwa hawajibanj