Kwahio.. (implication yake ni kuwa).. hata yeye waziri anaona saiz nchi haiendi
kinachosekana saiz ni maono.. au vision ya uongozi hasa kwa top leader. Kwenye biashara, mbeba maono akitoweka, biashara nyingi zinatetereka au zitatumia nguvu sana kujikwamua.. ndo hali ilivyo saiz kwenye uongozi wa sasa 😅Huyu jamaa ni msomi mzuri tu, lakini nae ni mchumia tumbo, yupo hapo kutetea upumbavu.. kwani magufuli si aliongoza hii nchi mwaka mmoja tu uliopita na nchi haikua na tozo, yeye aliwezaje .? Na mbona kipindi hakukua na tozo tuliona miradi mipya ikianzishwa kila kukicha while kipindi hiki cha tozo hakuna miradi mipya ni maneno tu.? Hizo hela za tozo wanapeleka wapi.?
Siku nikija kupata uongoz hapa bongo lazima nitawawajibisha hawa dynasties wote.. 😠kinachosekana saiz ni maono.. au vision ya uongozi hasa kwa top leader. Kwenye biashara, mbeba maono akitoweka, biashara nyingi zinatetereka au zitatumia nguvu sana kujikwamua.. ndo hali ilivyo saiz kwenye uongozi wa sasa 😅
Acha kuropoka mambo ya kijinga,kwani Magufuli ndio reference ya Uongozi?Huyu jamaa ni msomi mzuri tu, lakini nae ni mchumia tumbo, yupo hapo kutetea upumbavu.. kwani magufuli si aliongoza hii nchi mwaka mmoja tu uliopita na nchi haikua na tozo, yeye aliwezaje .? Na mbona kipindi hakukua na tozo tuliona miradi mipya ikianzishwa kila kukicha while kipindi hiki cha tozo hakuna miradi mipya ni maneno tu.? Hizo hela za tozo wanapeleka wapi.?
Bado kwenye nn [emoji2][emoji2][emoji3][emoji23]US bado sana kwa China mkuu, hilo tulishalimaliza.
Sikuwahi kusanda,the issue is US ilishafanya mambo kitambo...China ndio anaibukia,China haiwezi hata Japan ndio iwe USUS hata mm naipenda na huwa sipendi kuona China inakaa juu ya US interms of infrastructures but facts hazipingwi mzee, hata wewe mwenyewe tukikuomba ulete infrastructures za US tulinganishe na China lazima utasanda, na ulishawahi kujaribu huko nyuma ukasanda kmy kmy mzee.
Ni uongo bhana, China inafanya vitu vikubwa ambavyo US haijawahi kufanya na haitaweza kuja kufanya.. hilo lipo wazi wala halina mpinzaniSikuwahi kusanda,the issue is US ilishafanya mambo kitambo...China ndio anaibukia,China haiwezi hata Japan ndio iwe US
China is ahead of US in almost every single aspect, huu ukweli dunia nzima wanaujua . Kitu pekee marekani inaizidi china labda ni paper GDP and military budgetBado kwenye nn [emoji2][emoji2][emoji3][emoji23]
Fala weweSafi sana leo umejileta mwenyew.. hapo umelike hio post.. mpo 15..
View attachment 2342348zaman uliwah kuleta screenshot ikaonyesha na profile pic yako ya twitter.. sasa nimepitia hizo like 15.. nimekutana na profile pic yako nawe upo
Sasa, hii ndo account yakoView attachment 2342345
Na huyu ni wewe
View attachment 2342346
View attachment 2342347
Mtu mzima lkn akili kisoda..
We jamaa ni spy 🤣🤣🤣 mkubwa sana, kwahyo ulikua unamtaftia gap tu 🤣🤣🤣Safi sana leo umejileta mwenyew.. hapo umelike hio post.. mpo 15..
View attachment 2342348zaman uliwah kuleta screenshot ikaonyesha na profile pic yako ya twitter.. sasa nimepitia hizo like 15.. nimekutana na profile pic yako nawe upo
Sasa, hii ndo account yakoView attachment 2342345
Na huyu ni wewe
View attachment 2342346
View attachment 2342347
Mtu mzima lkn akili kisoda..
Ni moja ya kazi zangu 😅😅🤣We jamaa ni spy 🤣🤣🤣 mkubwa sana, kwahyo ulikua unamtaftia gap tu 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Mtu mzima alafu analetaga hoja za kisenge ,🤣🤣🤣 Dah.! Hongera kaka kwa kutuonyesha zamwa letu humu ndaniNi moja ya kazi zangu 😅😅🤣
Hio screenshot yake yenyew ndo ilikuwa hii.. nikasema huyu ipo siku atajileta mwenyew tu.. angalia profile pic hapo juu kushoto
View attachment 2342358