Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwalimu wako alipata shida sana kukuelewesha kaa na ujinga wako, hii Nchi ina watu wa hovyo sana hata uwatengenezee vipi, kwanza najisahaulisha kuwa unamapenzi nikikujibu tena niite Mbwa
Nilikwambia kwamba hapa utaamua kunyamaza mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi msingi wa kuazishwa huu mradi wa Anwani za makazi ulikua ni nini mpaka leo sijapata majibu.. kama hivyo vielekeza mitaa vinavunjwa tu hovyo.. hii ni Sinza👇View attachment 2341231hizo bilions zilizotumika hapa mrejesho wake kwenye uchumi wetu ñi upi.? Lakin mbona sisi watanzania wa kawaida hizi Anwani za makazi sio vipaumbele vyetu.? Viongozi vilaza kama kina Nape Nauye wanafanya nini ofini?

siongei kuhusu maghorofa. naongea kuhusu area (km²) encompassing city-proper limits
Kuwa na City_proper limits kubwa haimaanishi mji ni mkubwa
 
Many...............very many. Which is the 5 star hotel in Arusha anyway?
This one here in Naivasha for instance is 5-star - Enishapai resort.

View attachment 2341266View attachment 2341269

...........and Mombasa has 5-star hotels too. This is Sarova Whitesands, a 5-star.

the-resort-banner_.jpg



Pride Inn Hotel is another 5-star in Mombasa
Pride-Inn-Hotel.jpg
PrideInn-Paradise-Hotel.jpg


Serena Beach Hotel is another 5 star in Mombasa
accommodation-beach-hotel-kenya-coast-on-safari.jpg

None of those hotels is a 5-Star hotel,
I stayed at Sarova whitesands mwaka 2017, it was more of a 3-Star hotel at then,
Buda wacha kuforce mambo, ama Shule kichwani kwako haiko? Why don’t you google ?
IMG_6672.jpg

IMG_6671.jpg

IMG_6670.jpg
 
Kuwa na City_proper limits kubwa haimaanishi mji ni mkubwa
haimaanishi mkubwa aje! yet city-proper is the overal built-up area of a town or city and hence the populated area..
ie. cbd+estates+ schools&colleges+industrial areas etc
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sorry to say this.. kwenye dunia ya leo US ni joke Bro.. ndio mana tukibishana humu mtakimbilia kwenye masuala ya military supremacy
Huwa wanasema sijui S. Korea ipo vzr kuliko China lkn jana nmekutana na mkorea nkamuambia Korea ipo vzr sn akasema yah iko vzr, nikamuuliza Korea na China ipi iko vzr, jamaa kwa kinywa chake akaniambia China iko vzr sn, yn mkorea mwenyewe akakataa kabisa nilipomuambia nchi yake ipo vzr kuliko China just imagine.
 
GOK collects more than $1B from Safaricom yearly the remaining goes to paying of salaries and other expenses. In other words 90 % of what Safaricom is earning remains in Kenya.
Charlie Chaplin [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom