7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Very unfortunate, alafu watapingana na domo domo sana.., na taifa lina sura ya ufukara kote kote, kwanza from a plane view, hapa Kenya slums utazitafuta, haziko wazi kama maisha ya ufukara ya southerners..,




....umenifurahisha sana,umetoka kusema tunapinga hata kwa fact na realities,sasa angalia wewe ulichoandika???
