Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Very unfortunate, alafu watapingana na domo domo sana.., na taifa lina sura ya ufukara kote kote, kwanza from a plane view, hapa Kenya slums utazitafuta, haziko wazi kama maisha ya ufukara ya southerners..,
....umenifurahisha sana,umetoka kusema tunapinga hata kwa fact na realities,sasa angalia wewe ulichoandika???
 
Tz sgr ni mpaka Burundi Rwanda Congo na Uganda unlike yenu sgr to porini where there is no economic activities.
Sasa mdanganyika nkuulize, kati ya Kenya Narok-Busia border(300km) na Morogoro-ugandan border (1300km) ni SGR gani unafikiri Uganda watatoa pesa kuunganisha nao kwa border?
Kwa akili zako timamu unafikiri nani atafika kwa border mapema kati ya Kenya na Danganyika? Wakati mwingine wacha kutumia kichwa kama roundabout ya hewa.
Screenshot_20220708-144602.jpg
Screenshot_20220708-144800.jpg
 
Yani upewe hela za compensation na za kujikimu bado usafirishwe bure pamoja na mizigo na wanyama wako na pia upewe nyumba bure na ardhi ya eka 2 kwa makazi na eka 5 kwa kilimo na mifugo halafu eka za ziada kwaajili ya malisho ya pamoja ukibaki Loliondo wewe ni kichaa.
Bado ujengewe bwawa la kunywesha mifugo pamoja na josho, upo karibu na shule kwa ajili ya watoto, nyumba ina umeme, zahanati...ukatae kweli?
 
Yaani kuna watu hawampendi na wanashangilia kuhusu kifo chake na walikua wanaomba afe tu, Kuna watu wanasemage tunachukana na Wakulungwa wa Kaskazini, Ukijua chuki zilizopo jati ya China na Japan utakaa pembeni
Hawa wanachukiana tangia kipindi kile cha vita ambacho Mjapan alimvamia Mchina na kumpa kichapo heavy mpaka alivyokuja Mmarekan akamfurusha Mjapan.

Marekani na Japan ni marafiki wazuri tu ila si Mchina na Mjapan. Uhasama wao upo damuni.
 
Sasa mdanganyika nkuulize, kati ya Kenya Narok-Busia border(300km) na Morogoro-ugandan border (1300km) ni SGR gani unafikiri Uganda watatoa pesa kuunganisha nao kwa border?
Kwa akili zako timamu unafikiri nani atafika kwa border mapema kati ya Kenya na Danganyika? Wakati mwingine wacha kutumia kichwa kama roundabout ya hewa.
View attachment 2284499View attachment 2284501
Mu7 angekuwa na akili kama zako hata EACOP angeipitisha Kenya tatizo hamuaminiki, ka nchi kenu kana tatizo la kisiasa na ukabila so vita ni nje nje Kenya thus y hata majirani hawataki biashara na nyie, na ndiyo maana wanaona bora wazunguke waje Tz kuliko kuwa na biashara na failed state, pia usisahau train ya Tz ni ya umeme so mpk diesel train itoke Mombasa na kwichi kwichi zake mpk ifike ka Nairobi tayari joka la umeme from Dar port limeshafikisha mzigo Uganda with a speed of 160km/hr up to 180km/hr, na huko mbeleni tuta upgrade ifike speed ya 250km/hr cz specifications za SGR yetu zinaruhusu
 
Mu7 angekuwa na akili kama zako hata EACOP angeipitisha Kenya tatizo hamuaminiki, ka nchi kenu kana tatizo la kisiasa na ukabila so vita ni nje nje Kenya thus y hata majirani hawataki biashara na nyie, na ndiyo maana wanaona bora wazunguke waje Tz kuliko kuwa na biashara na failed state, pia usisahau train ya Tz ni ya umeme so mpk diesel train itoke Mombasa na kwichi kwichi zake mpk ifike ka Nairobi tayari joka la umeme from Dar port limeshafikisha mzigo Uganda with a speed of 160km/hr up to 180km/hr, na huko mbeleni tuta upgrade ifike speed ya 250km/hr cz specifications za SGR yetu zinaruhusu
Alafu hio eacop imefikia wapi
 
Sasa mdanganyika nkuulize, kati ya Kenya Narok-Busia border(300km) na Morogoro-ugandan border (1300km) ni SGR gani unafikiri Uganda watatoa pesa kuunganisha nao kwa border?
Kwa akili zako timamu unafikiri nani atafika kwa border mapema kati ya Kenya na Danganyika? Wakati mwingine wacha kutumia kichwa kama roundabout ya hewa.
View attachment 2284499View attachment 2284501
We mpuuzi Uganda hana haja ya kuingia hasara kujenga sgr from malaba to Kampala bali it makes sense kujenga from port bell to gulu and South Sudan na pia kuunga from Kampala to rwanda and congo.

Electric sgr will take 7 hours to mwamza from DSM port then overnight to Port bell. Less that 24 hours kutoka Dar mzigo uko port bell nani ataunga kwenye hiyo jongoo yenu inayoishia porini.

Mchina mwenyewe kafanya feasibility study kaona kuunga mpaka malaba kutokea porini haitalipa cause Tz wako na superior rail ambayo itaipa northern corridor competition kubwa.
 
UHuo mradi si kipaumbele chetu kwa sasa,kwa akili yako ya kawaida iwapo tunahitaji huu mradi tukaongea na mchina kwa mkataba wa maana sio kama huo wa kwenu mliopigwa,unadhani mchina atakataa?
Inferiority complexes zako peleka Tandale bongolala. Nimeweka picha kisha unakuja na povu na wivu zako hapa! Umeona nimetaja wapi Tanzania au Dar kwenye hiyo post?

Alafu ni mradi gani unaongelea wewe kilaza? Hiyo sio expressway kama hivyo ndivyo unavyodhani. Hiyo barabara ni outering road na ipo mbali sana na Nairobi expressway na wala haina mkataba wowote. Hii Nairobi itakuchanganya hadi ushangae na bado, ndio mwendo tumeanza!
 
Back
Top Bottom