Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo mbona hata wewe unapinga ripoti ya serikali ya Uganda kuhusu idadi ya watu badala yake unalaumu watanzania wanaopinga ripoti ya serikali ya Kenya, tuanzie wapi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nitajie mahali nimepinga hiyo ripoti. Unafikiri sisi ni kama nyie who deny anything and everything?
 
Kariobangi South towards Thika road
1641547405448.jpeg
 
Not second, zero😂😂😂, hawapendi ukweli.., ukweli na watanzania wengi wa jf hapa Kenyan section ni kama maji na mafuta., hawapendi kabisaa😂 😂 😂 😂 .,
I wonder how this helps them in the long run
 
Nitajie mahali nimepinga hiyo ripoti. Unafikiri sisi ni kama nyie who deny anything and everything?
Wewe chizi, SI ni wewe umenikosoa nilipoikosoa WB kwamba wanapingana na Uganda kuhusu idadi ya watu?.

By the way, onyesha wapi nimepingana na serikali ya Kenya kuhusu idadi ya wakenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe chizi, SI ni wewe umenikosoa nilipoikosoa WB kwamba wanapingana na Uganda kuhusu idadi ya watu?.

By the way, onyesha wapi nimepingana na serikali ya Kenya kuhusu idadi ya wakenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
I did not object anything the WB or Ugandan government said on that matter. I was only concerned that you were against a WB report on this one while but are quick to embrace other reports by the same WB. It's called doublespeak.

About Kenya's population report, I dint mean you in particular when I said "you". It was a general term to mean Tanzanians. Tanzanians have rejected that report so many times here and I even used Kibera as an example. How many times has your people maintained that Kibera population is 2.5m people despite government reports saying otherwise?
 
Back
Top Bottom