Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya ma flyover ya Chang'ombe na uhasibu tumepigwa, yanakaa low quality mno, utadhani tulijengewa kwa hisani. Sina uhakika sana na flyovers za uhasibu ila kwa sababu zinafanana na zile za Chang'ombe so nimezi include umo umo kwenye kundi la Chang'ombe coz zinafanana.
Keshakubali tumewapiga kwa fly overs
 
I did not object anything the WB or Ugandan government said on that matter. I was only concerned that you were against a WB report on this one while but are quick to embrace other reports by the same WB. It's called doublespeak.

About Kenya's population report, I dint mean you in particular when I said "you". It was a general term to mean Tanzanians. Tanzanians have rejected that report so many times here and I even used Kibera as an example. How many times has your people maintained that Kibera population is 2.5m people despite government reports saying otherwise?
Ukiwaambia kwamba census ya 2019 ilionyesha kwamba idadi ya Wakenya ni 49 million pekee akina chongchung coodip1 na The best 007 huwa wanapinga vikali. Kwanza mmoja wao nadhani ilikuwa chongchung alisema kwamba Wakenya tupo 57 million. Ukiwaambia wao wanazaana kama panya hawataki kusikia. Hii Uganda hata naona itakuja kupita population ya Kenya soon coz wao bado wanazaana kama panya. Fertility rate ya Uganda bado ipo juu ukiilinganisha na ya Kenya. Nchi masikini huwa zina fertility rate kubwa na nchi tajiri huwa zina fertility rate ndogo

Uganda = 4.82 births per woman. Tanzania= 4.83 births per woman (hatari sana). Kenya = 3.42 births per woman. Ukiwaambia wanazaana kama panya wanakasirika, wanaona kama unawatukana kumbe ni ukweli.

Uganda
Screenshot_20220708-134133.jpg

Tanzania
Screenshot_20220708-134147.jpg

Kenya
Screenshot_20220708-134229.jpg


Cc tuusan
joto la jiwe
 
Ukiwaambia kwamba census ya 2019 ilionyesha kwamba idadi ya Wakenya ni 49 million pekee akina chongchung coodip1 na The best 007 huwa wanapinga vikali. Kwanza mmoja wao nadhani ilikuwa chongchung alisema kwamba Wakenya tupo 57 million. Ukiwaambia wao wanazaana kama panya hawataki kusikia. Hii Uganda hata naona itakuja kupita population ya Kenya soon coz wao bado wanazaana kama panya. Fertility rate ya Uganda bado ipo juu ukiilinganisha na ya Kenya. Nchi masikini huwa zina fertility rate kubwa na nchi tajiri huwa zina fertility rate ndogo

Uganda = 4.82 births per woman. Tanzania= 4.83 births per woman (hatari sana). Kenya = 3.42 births per woman. Ukiwaambia wanazaana kama panya wanakasirika, wanaona kama unawatukana kumbe ni ukweli.

Uganda
View attachment 2284421
Tanzania
View attachment 2284422
Kenya
View attachment 2284423

Cc tuusan
joto la jiwe
They'll gang up against such data na wamalizie kwa kusema ni data za kupikwa. Very funny people. I wonder how every data that paints a bad picture of their country or one that talks about Kenya positively ni ya kupikwa!
 
Haya ma flyover ya Chang'ombe na uhasibu tumepigwa, yanakaa low quality mno, utadhani tulijengewa kwa hisani. Sina uhakika sana na flyovers za uhasibu ila kwa sababu zinafanana na zile za Chang'ombe so nimezi include umo umo kwenye kundi la Chang'ombe coz zinafanana.

Mkuu nilitegemea ungetuwekea na evidence kabisa kuwa ni low quality mfano sehemu zilizobomoka, ratio za material yaliyotumika kama cement labda wametumia grade ambayo sio yenyewe, nondo labda wametumia za plastic.
 
Mkuu nilitegemea ungetuwekea na evidence kabisa kuwa ni low quality mfano sehemu zilizobomoka, ratio za material yaliyotumika kama cement labda wametumia grade ambayo sio yenyewe, nondo labda wametumia za plastic.
Heheheheeee nilipita kuna siku pale Chang'ombe kiukweli nilivyoiona tu nikajisemea hapa tumepigwa, sometimes ubora wa kitu unakiona kwa macho tu mana macho yetu ni kipimio kikubwa kuliko vya kitaalamu, anyway ngoja tuone huenda ni macho yangu tu mkuu.
 
Hakuna train iliopelekwa Morogoro mzee, train inaenda Mwanza na DRC, sasa huko inakopita sio Morogoro peke yake inapita 60% ya eneo lote la Tanzania na inaelekea kwenye 70% ya population ya Tanzania
Hivi wanahabari kipande cha morogoro-makutopora ujenzi ushavuka 85%hawa? By next yr trains zitakua zinafika hadi Makutopora Singida
 
Ukiwaambia kwamba census ya 2019 ilionyesha kwamba idadi ya Wakenya ni 49 million pekee akina chongchung coodip1 na The best 007 huwa wanapinga vikali. Kwanza mmoja wao nadhani ilikuwa chongchung alisema kwamba Wakenya tupo 57 million. Ukiwaambia wao wanazaana kama panya hawataki kusikia. Hii Uganda hata naona itakuja kupita population ya Kenya soon coz wao bado wanazaana kama panya. Fertility rate ya Uganda bado ipo juu ukiilinganisha na ya Kenya. Nchi masikini huwa zina fertility rate kubwa na nchi tajiri huwa zina fertility rate ndogo

Uganda = 4.82 births per woman. Tanzania= 4.83 births per woman (hatari sana). Kenya = 3.42 births per woman. Ukiwaambia wanazaana kama panya wanakasirika, wanaona kama unawatukana kumbe ni ukweli.

Uganda
View attachment 2284421
Tanzania
View attachment 2284422
Kenya
View attachment 2284423

Cc tuusan
joto la jiwe
Kuzaana sio tatizo kama Unayamudu maisha,hapa tatizo ni umaskini ndio unaofanya uone kuzaa sana ni tatizo,Kama income yako ni kati ya tsh 2M watoto wanne unawamudu,Na hata ikiwa chini ya 2M lakini juu ya tsh 1.5M unawamudu pia..Yani tusizae kwasababu wazungu hawazai?hapa sijaona ukimake any sense
 
Back
Top Bottom