7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Kamongo tamu yasinda nyama, lakini kwa maharage ni dorooo!!Omera polee...!!



Watani zangu hawa.
Kamongo tamu yasinda nyama, lakini kwa maharage ni dorooo!!Omera polee...!!



Pole sana. Ni kwamba hawana elimu au ni wavivu wa kufanya kazi?Daah uwa inaniuma sana kila nikitembelea kenya,uganda au south Sudan....utakuta wakikuyu,wanyankole au waganda wapo vizuri kweli kiuchumi lakini luo KE,walango,waacholi,jopadhola,jonam,hao wale wa jaluo kutoka gambella Ethiopia hali zao taabani kabisa
Duh hawa jamaa huwa wanashida ya chakula sana mpaka inatia huruma huku kwetu naona Mungu ametujalia sana tusiwacheke jirani waje tuu wachukue chakula cha kutosha kila mtu apunguze makali ya maisha aisee.Wakiwa humu sasa. Hehe utadhan wanakula zaid ya mara tatu kwa siku, angalien kwanza hizo afya zao
Hizo zitakuwa ticket za utaratibu usio rasmi au wenye masharti kibao ndio maana haziko kwenye booking system.Kumbe ndiyo maana tickets zinapatikana HQ.
Usishangae flight ikawa fully bookedEconomy class $4800 pato la middle class wa kenya,Tz mwaka mzima![]()
Na mnavyopenda kusingizia wenzenu sasa kumbe mkisingiziwa nyie mnakuwa wakali hivyoHuyu mal*ya wa Fox News kule USA amepigwa vita na KOT. Hatawahi kutaja Kenya tena maishani mwake. Eti anadanganya kwamba pregnant women in Kenya cannot vote. Ilhali hapa Kenya wakati wa kupiga kura wanawake wenye mimba huwa wanawachiwa wavuke line.



Post pandemic economy nothing new. Hongreni.
Ah wapi, yaani ni zaidi ya nusu millioni ya Kenya eti!! na haujaeleza kama ni return ama one way? $5640 in today's rate ni Kshs 665,520 (Tshs 13,310,400) yaani umetoa hii wapi?.., does it include hotel?., ni package gani?., ama ni zile quotes unaokota tu kwa google, kindly check with travel agencies to be sure..,Nairobi - Guangzhou By KQ ni 5640 USD One way. Imezidi ATCL kwa 840 USD.
Rudi shule uka resit hesabu kwanza ndio uje hapaKenyas collection of $2.031 trillion (Tsh 40 trillion) is almost twice Tanzanias Tsh 22 trillion collection for the financial year 21/22.
Usiulize kwa nini Kenya imeendelea kuliko Tanzania we spend 2× what Tanzania spends in one year. The compounding extra net spending for years has made Kenya more developed and have a higher gdp than Danganyika
View attachment 2283585
Mtakomaa kutufahamuu 😅😅
Siasa za kipuuzi sana ambazo zimetekwa na personalities badala ya misimamo na sera za chama.Kenya sio nchi ya CCM (Chama Cha Mafala) inayotegemea propaganda ili iendelee kukaa madarakani, na pia KRA ni taasisi huru, peleka ujinga na hasira mbali, Jubilee ambayo ndiyo iko mamlakani haina mgombea urais., siasa ni Raila wa muungano wa Azimio na Ruto aliekosana na Uhuru., wacha porojo, mko na uchumi hafifu, wewe jiliwaze na Kibera na propaganda za mitandao na media uwache uongo, jipende mlivyo, haubadilishi ukweli
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mara ngapi imesemwa humu kuwa icho ni kichwa cha mkandarasi na vichwa vyetu vya treni na emu tutaanza kuvipokea mwakani au unatafuta Kiki broomimi nilikua natarajia kichwa kama ya nyoka... kumbe tu ni lorry ndo tunaletewa.!🤔 makosa sana. hapo tulichezwo View attachment 2283727
Jinga kabisaRudi shule ula resit hesabu kwanza ndio uje hapa
Haili kuni iyo kama ya wakunya 😅😅😅
Hii itaonekana Kunyalandi year 2100!
kisha inashangaza sana kua, huu mradi wote, hauna uhusiano wowote na Dar Port.. kisa...... umeme haiwezi beba mzigo🤔Haili kuni iyo kama ya wakunya 😅😅😅
Uwaga sijujubu hauko sawa mental ndio maana una thubutu kumwambia mtu mwingine anavuta bangiSGR ya tanzania ibebe 7m passengers in one year? Itakua unavuta bangi kijana sindio?