Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duuh hawa waarabu wamewadinya katika kila sekta hapo tanzania, hii tabia yenu ya kujipendekeza kwa waarabu muiwache bana. Hatuko tena enzi za sultan
Sisi tunajenga nchi moja, wewe kwa ukabila wako wa kuzaliwa unawaona waarabu, mm nawaona Watz wenye asili ya kiarabu na wenye maisha yao Tz, babu na bibi zao Tz, mali zao zote na utajili wao upo Tz na wameupatia Tz na wanaendelea kunufaisha maelfu ya Watz. Yani hao waarabu wana faida kuliko wewe uliyezaliwa ukiwa fukara na bado uko fukara, unakula na kunya hapo Mathare ukiwa huna faida yoyote zaidi ya kuongeza uhaba wa chakula kwa nchi yako
 
Du hizi nauli ni noma

Huu ni upuuzi na hamtapata customers. Hamuwezi kucompete na Qatar na Emirates on pricing. Upuuzi kama huu ndio ulinilazimisha kutumia emirates badala ya KQ japo nilitamani kutumia KQ kwa sababu ya uzalendo lakini bei yao ni ya upuuzi. Air ticket ya KQ ilikuwa double the price ya Emirates. Yaani hata kama wewe ni mzalendo vipi, huwezi kutumia ATCL au KQ wakati kuna air ticket ambayo ni cheaper by 50%. No wonder airlines zetu zitaendelea kufeli na za Waarabu zitaendelea kufaulu. Pricing is everything.
 
Dar city
FB_IMG_16571750464365969.jpeg
 
Hapo Kunyaland hamna tajiri anavuka $500 mln! Kama Kirubi the richest Kunyan alikuwa ana-claim he is worthy 500 mln ila akapatikana na 250mln kwa account after his death, who is Vimal Shah that his BIDCO is struggling in Tanzania!
wakenya wanavituko sana
 
Huu ni upuuzi na hamtapata customers. Hamuwezi kucompete na Qatar na Emirates on pricing. Upuuzi kama huu ndio ulinilazimisha kutumia emirates badala ya KQ japo nilitamani kutumia KQ kwa sababu ya uzalendo lakini bei yao ni ya upuuzi. Air ticket ya KQ ilikuwa double the price ya Emirates. Yaani hata kama wewe ni mzalendo vipi, huwezi kutumia ATCL au KQ wakati kuna air ticket ambayo ni cheaper by 50%. No wonder airlines zetu zitaendelea kufeli na za Waarabu zitaendelea kufaulu. Pricing is everything.
Hii habari imenisthtua hata mimi, kwa vigezo gani vimeangaliwa mpaka wamepanga nauli hizi, watawakimbiza mbali wateja.
 
What of his assets kilaza? coz liquid cash isn't the only measure of a person's worth.., ndio maana Forbes wana rate Vimal Shah as worth $2B.., why?.., kapingane na akina forbes na Oxfam.,
Leta hiyo list ya Forbes ikisema huyo tajiri uchwara is woth $2bn
 
Du hizi nauli ni noma

Halafu upuuzi wa kusema tickets are available at ATCL Head Office only imenishangaza sana wakati Emirates na airlines nyingi unabook online na kulipa online na kupata ticket online. Kwanza emirates inakutumia hio boarding pass kwa email. Yaani bado mnafanya mambo kizamani eti lazima mtu aende mwenyewe kwa ofisi yao ili apate ticket?
 
Sisi tunajenga nchi moja, wewe kwa ukabila wako wa kuzaliwa unawaona waarabu, mm nawaona Watz wenye asili ya kiarabu na wenye maisha yao Tz, babu na bibi zao Tz, mali zao zote na utajili wao upo Tz na wameupatia Tz na wanaendelea kunufaisha maelfu ya Watz. Yani hao waarabu wana faida kuliko wewe uliyezaliwa ukiwa fukara na bado uko fukara, unakula na kunya hapo Mathare ukiwa huna faida yoyote zaidi ya kuongeza uhaba wa chakula kwa nchi yako
Ulicho kiandika ndo kile wazungu wanakiita ' slave mentality'. Nyinyi mnawaona watz, wao wanawaona watumwa wao. Tanzania kuna historia ndefu sana ya utumwa kuliko nchi zote Afrika na waarabu wamefanikiwa kuwageuza nchi nzima kua colony yao mpaka ikulu inafanana na Masjid. Samia suluhu mwenyewe kasema wajomba zake bado wanaishi kwa watumwa oman.
 
Huu ni upuuzi na hamtapata customers. Hamuwezi kucompete na Qatar na Emirates on pricing. Upuuzi kama huu ndio ulinilazimisha kutumia emirates badala ya KQ japo nilitamani kutumia KQ kwa sababu ya uzalendo lakini bei yao ni ya upuuzi. Air ticket ya KQ ilikuwa double the price ya Emirates. Yaani hata kama wewe ni mzalendo vipi, huwezi kutumia ATCL au KQ wakati kuna air ticket ambayo ni cheaper by 50%. No wonder airlines zetu zitaendelea kufeli na za Waarabu zitaendelea kufaulu. Pricing is everything.
Kinachonishangaza zaidi ni inakuaje TC wanagharama kubwa lkn wanajaza abiria yn sielewi inakuaje aiseee.
 
Ulicho kiandika ndo kile wazungu wanakiita ' slave mentality'. Nyinyi mnawaona watz, wao wanawaona watumwa wao. Tanzania kuna historia ndefu sana ya utumwa kuliko nchi zote Afrika na waarabu wamefanikiwa kuwageuza nchi nzima kua colony yao mpaka ikulu inafanana na Masjid. Samia suluhu mwenyewe kasema wajomba zake bado wanaishi kwa watumwa oman.
Bado unaendeleza hisia za kikabila ulizozaliwa nazo, sio sisi tunawaona Watz bali ni Watz waliozaliwa Tz unataka niwaone sio Watz wakati wamezaliwa Tz we fala nn, unataka mm nifanyeje, nimpeleke Dubai wakati kazaliwa Tz? Peleka ukabila wako kwa mama ngina tafadhali.
 
Back
Top Bottom