Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
History Ulisoma hata kwa uchache .?, haya maelezo yako yanaonyesha venye hujui chochote kuhusu history ya EA .. ukihitaji unitafute nitakupea elimu bureeUlicho kiandika ndo kile wazungu wanakiita ' slave mentality'. Nyinyi mnawaona watz, wao wanawaona watumwa wao. Tanzania kuna historia ndefu sana ya utumwa kuliko nchi zote Afrika na waarabu wamefanikiwa kuwageuza nchi nzima kua colony yao mpaka ikulu inafanana na Masjid. Samia suluhu mwenyewe kasema wajomba zake bado wanaishi kwa watumwa oman.

.