Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulicho kiandika ndo kile wazungu wanakiita ' slave mentality'. Nyinyi mnawaona watz, wao wanawaona watumwa wao. Tanzania kuna historia ndefu sana ya utumwa kuliko nchi zote Afrika na waarabu wamefanikiwa kuwageuza nchi nzima kua colony yao mpaka ikulu inafanana na Masjid. Samia suluhu mwenyewe kasema wajomba zake bado wanaishi kwa watumwa oman.
History Ulisoma hata kwa uchache .?, haya maelezo yako yanaonyesha venye hujui chochote kuhusu history ya EA .. ukihitaji unitafute nitakupea elimu buree
 
Halafu kwa nini ticket zipatikane head office tu ? Online booking inabidi iwekewe mkazo kwa mfano mtu anatoka Zambia anataka kuunga ndege hapa hadi haende head office? Mhhh watu wa masoko wa ATCL inabidi wawaze beyond macho yao yanapoishia
Ufisadi ndiyo sababu
 
Wewe ukidhani ni mtz yeye haoni mipaka ya kenya na tz anaangalia tu hela, mfano huyu wa lake oil akona ndugu mombasa mkenya whose also a director in the business, ni wajanja
Mbona sasa mmekubali ndio wanaowauzia unga wote wa ugali kunyaland?
 
Hizi fare naona ni kote ziko juu maana nimejaribu kutafuta flight ya Dar to Guanzhou kupitia Qatar Airways majibu hayo hapo chini
Inaelekea demand ni kubwa sana baada ya recent lock down.View attachment 2283414
Sasa swali ni kwa nini route hii ya Dar to Guangzhou ni very expensive wakati routes ambazo ni ndefu zaidi kuishinda ni cheaper? Angalia Nairobi to New York kutumia KQ ni around ksh 141,000 yaani $1,200. Hio ni 4 times cheaper kushinda hii route ya Dar to Guangzhou. Halafu distance kutoka Nairobi hadi New York ni 11,836 km walati Dar to Guangzhou ni 8,691 km? Kwa nini Nairobi-New York ni cheap mara nne ya Dar-Guangzhou licha ya Nairobi-New York kuwa na distance ndefu kushinda Dar-Guanzhou?
Screenshot_20220707-143555.jpg
Screenshot_20220707-143616.jpg

Hii hapa ticket price ya KQ ya Nairobi-New York 👇 👇

Screenshot_20220707-143507.jpg
 
Sasa swali ni kwa nini route hii ya Dar to Guangzhou ni very expensive wakati routes ambazo ni ndefu zaidi kuishinda ni cheaper? Angalia Nairobi to New York kutumia KQ ni around ksh 141,000 yaani $1,200. Hio ni 4 times cheaper kushinda hii route ya Dar to Guangzhou. Halafu distance kutoka Nairobi hadi New York ni 11,836 km walati Dar to Guangzhou ni 8,691 km? Kwa nini Nairobi-New York ni cheap mara nne ya Dar-Guangzhou licha ya Nairobi-New York kuwa na distance ndefu kushinda Dar-Guanzhou?
View attachment 2283439View attachment 2283440
Hii hapa ticket price ya KQ ya Nairobi-New York

View attachment 2283442
weka nairobi to guangzhou tuone
 
Nimeshangaa sana. Hio nauli ya $4,800 imetosha mtu kuagiza Toyota mpya kutoka Japan.
Hii inaonekana ndogo Tonny, Tena ni Direct flight, Ukibook ya KLM ndio utajua za ATCL ni mteremko, miezi kama minne iliyopita kuna mtu alienda one way kwa 15000 USD, na hii inaweza kuwa inasababishwa na restrictions za Airline mbalimbali kuingia China. (Si unajua raia wa kawaida yoyote haingii China sasa hivi?) So many of the people flying to China now are Chinese Nationals and other foreigners with special cases Mostly with humanitarian cases or Diplomats going to their posts.
Nauli ya ATC ni mteremko kabisa kwa sasa . Ila mambo yakiwa normal tegemea hizi rates zitashuka hadi 700 USD go and return. ila sasa hizo rates pamoja na ile ya 15000 USD ni ONE WAY.😀
 
Airline zingine nauli kuanzia 15,000 Usd - 20,000 Usd kuna kipindi kama miezi minne nyuma mtu alinunua ticket economy kurudi kwao kwa rate hiyo. Hiyo ya ATCL mteremko halafu ni direct flight, Pita Amsterdam uone wanavyonya damu .
Zamani kabla ya Corona Usd 700 unaenda na kurudi . Mambo yamebadilika sana .
Aisee mambo yamebadilika sana.Kwa hii nauli si mchezo, sisi tunaona ya ATcl kubwa kumbe kuna kubwa zaidi. Watu wana pesa bwana.
 
Maanisha hiyo ya China unafikiri kwa watanzania peke kila kila jumapili unaweza pata abiria 200+ . Yaani inabidi wafanye JNIA kama gateway ya kwenda huko Asia kwa majirani zetu haswa kwa wasio na direct flight . Pia itawasaidia kuongeza biashara za hotel na nyingine indirect kama wanavyofanya Ethiopia
Hii ni kwa kuanzia.. kwa nnavyofikiri..hawaj synchronize vizur..kufanya connection iwe rahisi ndo maana ticket zipo kwa wa Tz tu ...after sometime wataweka online ...

Mumbai ipo online na unaweza connect
 
Hii inaonekana ndogo Tonny, Tena ni Direct flight, Ukibook ya KLM ndio utajua za ATCL ni mteremko, miezi kama minne iliyopita kuna mtu alienda one way kwa 15000 USD, na hii inaweza kuwa inasababishwa na restrictions za Airline mbalimbali kuingia China. (Si unajua raia wa kawaida yoyote haingii China sasa hivi?) So many of the people flying to China now are Chinese Nationals and other foreigners with special cases Mostly with humanitarian cases or Diplomats going to their posts.
Nauli ya ATC ni mteremko kabisa kwa sasa . Ila mambo yakiwa normal tegemea hizi rates zitashuka hadi 700 USD go and return. ila sasa hizo rates pamoja na ile ya 15000 USD ni ONE WAY.😀
Kumbe hizo restrictions za Uchina ndio zinafanya rate kupanda hivyo? Aisee Wachina wanazingua sana.
 
Sasa swali ni kwa nini route hii ya Dar to Guangzhou ni very expensive wakati routes ambazo ni ndefu zaidi kuishinda ni cheaper? Angalia Nairobi to New York kutumia KQ ni around ksh 141,000 yaani $1,200. Hio ni 4 times cheaper kushinda hii route ya Dar to Guangzhou. Halafu distance kutoka Nairobi hadi New York ni 11,836 km walati Dar to Guangzhou ni 8,691 km? Kwa nini Nairobi-New York ni cheap mara nne ya Dar-Guangzhou licha ya Nairobi-New York kuwa na distance ndefu kushinda Dar-Guanzhou?
View attachment 2283439View attachment 2283440
Hii hapa ticket price ya KQ ya Nairobi-New York

View attachment 2283442
Inaelekea baada ya recent Chinese lock down not many airlines have restarted services on this route so the demand is on the roof at the moment
 
Woiye, Boris Johnson amelazimishwa kustep down. Pole sana kwake.
 
Back
Top Bottom